Mto post, hatumii akili, anatumia uchafu, Lowasa anatamaa ya madaraka, tu, na kulipiza visasi, haleti kitu chochote, amekufa ccm, Hakuleta mabadiliko, kama ccm haijaleta mabadiliko basi Lowasa hajaleta mabadiliko, coz ccm ni watu, Mungu hawezi kuwa na mtume mwenye tamaa ya madaraka, na walk...
Waislamu, nawashangaa sana, ukija za na bokoharam, alshabab, Islamic state,wamefanya majaji makubwa hapa duniani ya waislamu wenzao na wasio waislamu, kwa Imani ya kupata thawabu kutoka kwa Alla, kupata mabikira 60 peponi,huyo ni Mungu mnaemwabudu ni Mungu gani?, Hakuna chombo chochote cha...
Kwanza umenitumia kupost kitu kama hiki, mara ngapi umepata sms kutoka matanagazo ya biashara, kama sheria ya cyber crime, inakataza kumtumia ujumbe mtu usiemjua ni kosa basi tutafungwa wengi, wewe ni team wa mgombea mwingine, Janauary amekuomba hajakulazimisha, hajakutukana, kama hutaki achana...
Nchi zote za kiislam ni vurugu tu hakuna Amani, na mahakamani za kadhi zipo, angalia sudani, Somalia, Afghanistan etc, hiyo za mahakamani za kadhi zimeshindwa kusuluhishwa matatizo huko sembuse hapa BOngo, waislamu ndg zangu, concentrate Kwenye mambo ya kiuchumi, mate cha kuwasaidia wengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.