habari zenu wakuu.. naomba msaada wa mawazo, nko njia panda kidogo.
Mimi ni kijana 25yrs nlianza maisha ya kujitegemea kama miaka 2 iliopita baada ya kumaliza elimu yangu ya diploma, makazi yangu ni dar es salaam., katika shughuli zangu za vibarua nliweza kupanga chumba na kunua kila kitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.