katika hali ya kuonesha wamegundua makosa yao,Baraza la mitihani ya taifa NECTA,wameondoa ratiba yao ya mwez mei na kurudisha ya mwez february katika mtandao wao
mbona kama idadi waliyotoa mwanzo ya watu watakaopewa mkopo ndo hii idadi ya majina haya yaliyotoka,au hiyo second and third allocation wanatoaje,naona kama unanipa moyo bure
Jamaa nimemuona mara mbili aliwahi kuja dodoma akiwa kocha wa simba iliyokuwa ikicheza na polisi dodoma.Matokeo yalikuwa ni sare.Baada ya mechi hiyo Julio alitukanana sana na watu waliokuwa wanashuka jukwaani.Kwa jinsi alivyokuwa anatukana matusi makubwa na mazito nilimdharau sana kutoka kipindi...
daa kaka utajutia wewe,mwenzio nasema yashanipata tena juzi juzi tu,hawajui kukataa af wana sura ya kipole ukambiwa amefanya kitu kibaya unabisha mpaka misuli inakusimama.hawana lolote hao,sikujui ila nakuonea huruma sana
Kigaila huwa anagombea kwenye jimbo la kibakwe(kwa george simbachawene) kwa bahati mbaya wananchi wa kule elimu duni sana wanasema akihamia ccm wanampa ubunge.nadhani iko siku ataupata
Hoja hazina mashiko,mtu kupigia kura mbunge sio lazima ampigie na Rais wa chama hicho.kwa mfano hata kama ni mpinzani huwez kumnyima kura Dr mwakyembe,Magufuli nk lakini na bado kura za Rais ukapeleka upinzani.Watu wengi walifanya hivyo.Mimi ni mmojawapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.