JESHI LOTE NI MKUSANYIKO WA FANI MBALIMBALI HIVYO HUYO KOMANDO NI MMOJA TU KATI YA WATALAAMU WENGIKO WALIOKO JESHINI UKIMSIFU KOMANDO UJUE KUNA MTU WA JET FIGHTER AMBAYE ANAWEZA TEKETYEZA KIGOMA AKARUDI DAR KWA DK KUMI TU WAKATI KOMANDO WAKO KAJIFICHA SHIMONI HIVYO HESHIMU JESHI KWA UJUMLA WAKE...
Maelezo yaote yako sawa ila umekosea hapa:-
1 Kamandi ya Anga
2 Kamandi ya Maji
3 Kamandi ya Jeshi la Akiba ikiwemo JKT, Polisi, Magereza , Mgambo nk
4 Kamandi ya aridhini Land force
JKT siyo kamandi ni jeshi la akiba na inapotokea vita Kamandi ya Jeshi la akiba huwatayarisha askari wa akiba...
TATIZO LA NI KUIGA KILA UKIONACHO KWA Jirani yako hta kama ni cha kipuuzi, Uhalifu unapotokea UHALIFU kwa mtu wa kawaida hatajua kuwa huyu ni Mwanajeshi au ni Polisi hiyo ni moja tu kati sababu nyingi zinazofanya kila Jeshi liwe na sare yake hapa Tanzania mengine ni mambo nyeti siwezi andika...
KAMA WATANZANIA HAWATAMWELEWA MAANA YAKE HAFAI , ANAYEFAA ATAELEWEKA NA WATANZNIA WOTE , WATU MILIONI SITINI WASIPOKUELEWA WEWE NDIYO TAAHIRA MWANDAMIZI
POLE SANA UMEAMBIWA CDF NI MKUU WA MAJESHI YOTE KUANZIA JWTZ, POLISI, MAGEREZA NA USALAMA WA TAIFA NA NCHI IKIINGIA VITANI MAJESHI YOTE HUUNGANA KUPIGANA VITA CHINI YA UONGOZI NA USIMAMIZI WA CDF HIVYO IGP ANAPIGA SALUTE KWA CDF UTAKE USITAKE NI HIVYO
MKUU UWE NA AKILI HATA YA AKIBA UMEMUONA MTU KAVAA SARE ZA JESHI BADO UNAMUULIZA KAMA YEYE NI ASKARI KISA ANAUZA VOCHA !!!!! UMENITIA AIBU SIYO KILA KITU UTATAFUNIWA VINGINE JAZIA MWENYEWE RWANDA SECURITY YAO NI KALI SANA TOFAUTI NA UNAVYODHANI NA KURAHISISHA MAMBO, HUYO MREMBO ULIYEMCHUKUA PIA...
Ukiwa mwongo usiwe Msahaulifu dogo hata kama umetumwa kumbuka wakati Nape na wanamtukana Mzee Lowasa Kikwete alikuwa Rais na alichekelea tu na siyo Magufuli kama unavyotaka kutulisha matango pori mjinga wewe. Wadanganganye wajinga wenzio watu tupo na akili zetu timamu siyo akili za kushikiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.