Duu kazi tunayo watanzania, naona tunalazimishwa kuingia kwenye vita vya wenye navyo na maskini wakutupwa, sijui kwa sheria za kimataifa hii itaitwa nini, vita vya kikundi fula au kabila fulani inaitwa genocide.
Sasa yetu itaitwaje???
Sii kwamba wanaogopwa ila wanaushawishi mkubwa kwenye siasa, mipango yao ni kimya kimya na wanapoibuka huwa wanaibuka na point tuu.
Pia wote ni wachapa kazi ingawa mmoja wana dai kwamba ni fisadi ila hamna ushahidi wowote au wa moja kwa moja mike ninawakubali asilimia 100. yeyote kati ya hawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.