Usijipe kazi ya kuwachagulia watu wengine (hata wazazi wako) watu wa kuwapenda au kuwachukia. Ni kazi ngumu na hutoiweza! Wewe tenda yaliyo mema na timiza wajibu wako kwa kila mtu (wazazi wako na ndugu zako) na hilo la kukupenda ama kukuchukia waachie wenyewe. Jiulize hata wewe mwenyewe, kuna...
Hiyo statistic ya mwenza alilala na wanaume wangapi sio rahisi kuipata kwa uhakika na kwa kweli haisaidii sana katika mahusiano, sana itakupa stress isiyo ya lazima. Kila uhusiano ni unique na kama mmeridhiana kukaa pamoja endeleeni tu na muwache "pasts" zenu huko huko.
Kama "bwana yule" alivyoonesha dharau kubwa sana kwa Kanisa na viongozi wake katika mapambano dhidi ya Covid19......tena akiwa kanisani! Sote tunajua alipo kwa sasa!
Hivi tulipigania/tulidai uhuru wa kazi gani kama hatuwezi kusimamia mambo yetu wenyewe? na serikali inakiri hivyo kuwa TPA nimeshindwa na dawa ni kuleta waarabu. Hivi watanzania tunafifikri vizuri kweli? Hatujifunzi tu makosa tuliyofanya huko nyuma(madini, tanesco, dawasco, railways nk)...
Kwa ubovu wa huu mkataba wa bandari, kama gharama ya kuachana na hilo dude (DPW) ni kufuta MoU kati ya serikali na makanisa, na wafute tu! Serikali ijitafute yenyewe kujenga hospitali zake.
Kwa hivyo TEC wangeunga mkono mkataba wa bandari, MoU katika ya serikali na madhebu ya kikristo katika kutoa huduma za afya kwa watanzania ingekuwa ni "halali"? Nafikiri badala ya kushambulia watoa hoja (TEC), tutizame hoja zao na kuzipinga kwa hoja. Tukishambulia MoU tu, haijibu chochote...
Bila shaka katika walioshiriki kwenye huu mkataba, kuna ambao wameshaenda "kuungama"! Wacha tuone atakapingana na "sauti ya Mungu" (Vox Populi, Vox Dei)🤔🤔
Yap, hii ya majeneza ya kukodi haipo mbali sana. Kwa mfano, unaweza kuwa na jeneza zuri sana (material inayodumu (metal?), nyepesi, etc) kubwa kidogo hili ndio linakodishwa. Hilo linatengenezwa kuweza Ku accommodate jeneza dogo ndani na kulifanya liweze kufunguka kwa urahisi wakati wa kulitoa...
Suala la aina na ukubwa wa nondo ni suala la kitaalamu (structural engineer huwa anafanya mahesabu yake) na hakuna jibu moja kwa cases zote. Kuna mambo mengi tu yanaweza kuhitaji kuzingatiwa hasa kiasi cha mzigo (tensile forces).
But huku "mtaani", wanaojenga bila kutumia wataalamu wengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.