Ile ni Hesabu ya kiwango cha juu na ndio maana ya kubeti ukigundua siri wala hutajuta kucheza hakuna cha laana wala nini kama uko fit jipange siku nikupe timu mbili na matokeo yake bureee kabisa utanishukuru mkeka ukitiki.
Uko sahihi kabisa huyu Yerico ndie aliwauza ukawa wakati wa uchaguzi 2015 kwa kuonyesha vituo vyote vya najumuishi ya kura , alichukuliwa na polisi ili kuwazuga wasioelewa kama anabisha aeleze siku ya uchaguzi alikuwa anafanya nini kwenye gari ya Kiongozi wa CCM landcruiser nyeupe GX old model...
Kwa dhati kabisa nimependa jinsi ambavyo Rais amekutana na wabunifu hawa, hii italeta hamasa kwa wabunifu wengine kufanya ubunifu wenye tija katika kufikia Tanzania ya viwanda. * Pongezi Mh Rais John Pombe Magufuli*
Notice of Appeal *does not* operate as automatic stay of execution of decision of High Court in constitutional cases where act, decision or provision of law declared by High Court to be unconstitutional *”constitutes or involves continuous breach”* of provision of the constitution in issue...
Maana haiwezekani uwe mjinga kw kiasi kile katiba na taratibu hazijakupa mamlaka ya kuwatoa watu kwenye nafasi zako lakini kama ukilewa unawatoa tuu kwa maigizo tena unasema kihuni huyu nimemla kichwa du ajabu kabisa.
Acha ubwege ww hivi nyanya za hiyo bei unapikia kw siku moja huo ni ufala na sifa za kijinga, hivi kweli hoho za bei hiyo tajwa unapika kwa siku moja labda kama akili yako ni ya pumbavu acha ujinga bana ww huna unalojua acha ufala
Hata juzi tulisema wakigombana huko sie tutatumia ugomvi wao kwa faida mie nina mafuta ya alizeti nataka kupeleka Dodoma siku ya kikao nikamuuzie CAG na watakao msinfikiza hebu acha kutoa ushauri atakao tunyima masilahi hapa ala
Yaani hii ndio itakuwa akili sana nafikiri kuna haja ya kuanzisha mada humu ya ushauri kwa CAG asiende kuiona kamati halafu wafanye wanavyotaka wamzalilishe tuone ni kwa kiwango gani huu ujinga utaendelea nchi hii nadhani huyu supika anapelekwa pelekwa tuu yaani ni Dhaifu kabisa.
We nae unapenda tu kujibu kabla ya kupitia comment
Na alikatwa kwa sababu ya udhaifu wa hao hao wadhaifu wakiongozwa na masemaji ya hilo lichama linaloongoza hii gari ya 2015 to 2020
Endelea kupiga makofi nyie si kazi yenu kushangilia ndio maana mkiambiwa kikokotoo kipya ndio sawa mnapiga makofi mkiambiwa hakifai mnapiga makofi sarakasi na kuandamana kupongeza sasa na hili ni sawa tu kwako shangilia maamuzi ya Supika
Mbona ni dhaifu kabisa hata mie msimamo wangu ni pale pale yule anayesimamia hao wabwabwaji ni dhaifu zaidi namanisha kiongeleo cha redio ndio kubwa la dhaifu na hao wasikilizaji wenye kubishana ni dhaifu dhaifu kabisa mpaka basi sasa msiambiwe ukweli nyie kina nani.
Asante Mkuu, naomba kujua kuna darasa maalumu la kujifunza haya mambo ili kuwa mwerevu, na je unaweza kunisaidia kupata darasa hilo? natanguliza shukurani.
Yaani mkuu hii point yako hata mie hua ina ifikirisha sana hivi Mungu huyu anaependa watu wake bado anakaa anaangalia tuu ujinga huu ufanywe kwa watu wake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.