Kiukweli tanesco wanakera Sana kwanza umeme wenyewe bei ghari japo wanajiita shirika la uma na ukiweza kulipia inabidi uwafutefuate utafikili unapewa bure
naunga mkono hoja na kingine kuna watu bado wana amini kufunga ni kuto kula tu huko ni kujidanganya,funga inaambatana na mambo mengi sana...hakika mungu atusaidie
hakika na kweli nakubaliana na mleta mada....kuwa upinzani nchii hii ni lazima ukubali kutelekeza familia maana lolote linaweza tokea muda wowote halafu unakuta kiongozi furani anasema ye anasikiliza wanyonge....kweli
haya ni makosa yetu wanaume we unaenda gest ya bei kubwa unafika na kulipia bila kuongozana na mlengwa wako unategemea nini huwezi kwenda machinjoni kwa nia ya kuchinja bila cha kuchinja,dawa ya mwanamke ni kuwa na akili zaidi yake...utafanikiwa,mi hata gest ya elfu tano lazima niwe naye...tena...
ujumbe ni mzuri ila unawajua watanzania unao wapa ujumbe huu....maana watanzania ninao wajua mimi hawanaga muda wa kufikilia mtu we ukija na kande za maindi mabich unachukua unachotaka
nimependa sana mada hii na ni vizur mleta mada kututambulisha docta alie kusaidia kwani nacho kiona katika nchi yet ni kuwa kuna shida kubwa ya madocta yaani unakuta docta anakuandikia dawa kumbe sio ya tatizo ulilo nalo,ndio maana hata wewe docta wa kwanza alikungiza choo cha kike,magonjwa...
wala huna tatizo hilo ni jambo la kawaida kwa vijana wa miaka ya 80,leo vijana wengi hawana nguvu ndio maana wanashangaa ni kawaida sana...unacho takiwa kufanya ni kuahakikisha hupotezi nguvu zako kizembe
siku nyingine mleta mada kabla hujaleta pumba zako uliza kwanza ufanyeje yaani we kwa akili yako kumpiga mtungo dem ni kumkomoa...unajidanganya sana,kwa taarifa yako ukikutana na mwamnamke kichaa mnaweza piga mtaa mzima na dem akawa anachekacheka
sasa nimeamini ukionekana kwenye luninga na elimu yako ni ya darasa la saba haya ndio madhara yake,unafikili unaweza kuongea chochote na iko siku atatuambia ya chumbani
nilisema hili mahara pengine..,watanzania wengi tuna natatizo sasa kwa mtu kama huyu ye kila siku kueleza bei yake maana yake nini hasa au anataka nini hasa na kwa kweli labda jini ndio litatoa hiyo pesa kwa ajili yake
mambo mengine ya ajabu tayali dada ako anajinsia mbili wewe tatizo lako nini na inawezekana anafurahia hari aliyo nayo na unasema eti huwezi kumuona kama dada ako sasa unataka umuonaje...we fanya yako kwanza kosa ulilifanya ni kumtoa huyo demu nje ilibidi umtulize kwa kumpa vitu vya studio aache...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.