Eee bana unanikumbusha mbali....enzi za Mangw'enyengw'enye (Mr.Shilla) akiwa ndio Head Master - Namkumbuka mwenyekiti wa shule wakati huo (1982 - 1985) - James Midigo ( Cheyo) na kundi lake - Lotah, Colourless, Jomba, na......shule ilikuwa balaa miaka hiyo, Sasa nasikia ni GIRLS SEC SCHOOL
jamani kama kuna mtu alimsikiliza ..."kibonde" jana kwa jahazi, kweli utajua jamaa akili imetindia au ana njaa ya kufa mtu, wazi wazi anatetea suala la kutorusha live vipindi vya bunge na kudai dunia kote ndivyo ilivyo.....labda sijui duniani kote kwa kibonde kuna maana gani.....kama ni njaa...
.............na ukitaka jua udhaifu we huyu mhishimiwa nenda pale wizarani ukiwa na shida hasa ghorofa ya tatu, kwa kweli huduma zao zinanuka...hata aibu hawana
chances watabomoa tuu, maana nyie mmeingia baada ya mipango miji kutoa matumizi ya eneo husika. Kama wangewakuta nyie mkiwa hapo, hiyo ingekuwa hadithi tofauti.
...lakini kila siku wanatuambia branches zao zote ziko "online"...au ni hoja ya kuuzia tuu?..Huduma za mabenki yetu bado saana, .....na unaweza kuta hakuna hata mtu anayefuatilia ila unapigwa story tuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.