sas bint maringo wana ziba na nn au kuna vifaa special kutoka china wanatumia kuzibia
swali la nyongeza na kama wana ziba vizuri kabisa huko kwa bibi nyau vipi kuhusu ule uwoto wa kandokando ya kile kijiji
ni hayo tu naomba unijibu
nimevutiwa na ule ubeti wako wa mwisho unao anza na i wanted her
MUNGU katupa zawadi ya maisha hapa duniani zawadi ambayo haijirudii hivyo kama unampenda mtu mwambie ili moyo wako utulie na kama umemkosea mtu mwombe msamaha kabla hujatoweka duniani
pole sana mkuu ungemsubiri kwanza aje labda mpaka chooni ndio ungechukuwa uamuzi ulio chukua ww mtu
wazungu bwana ni watu wa ajabu sana ww unaweza kuzani kuwa anakupenda kumbe yeye anakuona kama rafiki tu
Ila mkuu tunaona kama hiki kistory ume kitunga ama umekiedit au umekiona kwenye muvi kwa...
sasa ww hujawaona wale viongozi wa dini wanao fungisha ndoa za jinsia moja ww wawapi au mitandao umeanza kutumia juzi. sasa hiyo jinsia moja si inatumia mlango wa uwani huko
kama ni kweli hayo uyasemayo basi jitahidi uwezavyo kumsahau kwani kusoma hujui picha pia?
atakuumiza kichwa na atakupotezea muda kwa kifupi ni kuwa yuko na mtu anampenda sana kupita hata hivyo vijuice na chipsi unazo mpa na anavyoonekana anakutafutia sababu ya kijinga akubwage shukuru kwa...
jambaa ngoja nikushauri ki freemanson flani hivi
huyo bhana kashakula sana vyako so inabidi arudishe japo kwa mbali sawa sasa ww cha kufanya nenda kwa lengo la kula kisela ila yeye asijue then ukimbie, kwani ukikimbia sasa hivi moyo utakuuma sana huko uendako kwa alivyo vila
mfano tuna ona...
Aiseeee hiyo ni khatari hatari hizo mambo ni noma tusijaribu kabisa kwa sababu zifuatazo
ki biology; kuna bacterial ambao wanaishi mjini humo kazi zao ni kula mali zilizo kuwepo kurahisisha haja hivyo uki introduce hiyo dushelele yako huko unaweza kupata UTI na maradhi mengine.
ki dini; nathani...
huyu jamaa anajisifia kwa alicho kifanya ndio maana tunadiriki kumkashifu kiasi hicho. kwajinsi alivyo andika sio kana kwamba anaomba ushauri ni kama anajisifia kwa upumbavu wake sasa ww ukimpa moyo utasababisha aendelee kwa anayoyafanya
Ebwana ww unaonekana kuwa ni freemanson tena usione sifa kwa unayo yafanya. chakufanya kuanzia leo mpaka una ugua ugonjwa wa ajabu usisubutu tena kutembea na mtu asiye mke wako
pole sana mdada mbaya zaidi si zani kama wakurya unawapata vizuri kwani ndio wanausalama walio wengi hapa TZ
hii ina maanisha utakapo olewa jiandae na plasta box 8,bandegi box 6, spirit chupa 4 na dawa za kupunguza maumivu mchanganyiko za jumla.
ila usikate tamaa kama una mpenda sanaa basi...
kuna baba mmoja alinunua ka simu kake ka kichina akawa amekaa seblen ana test test milio kwa bahaati mbaya akajamba PWII
mtoto wake wa mwisho akasema Baba usiweke huo una harufu mbaya
sikia mbaba mkandamize na ww alafu mpige picha na video then mtumie kama anampenda ataacha hapohapo
kisha mpe ujumbe ufuatao
ukiona umependwa basi ujue kuna mjinga katemwa na ukiona umetemwa basi kuna mjanja kapendwa
katika swala la mapenzi kila mtu ana mapendekezo yake
mm binafsi napenda yawe round,makubwa kiasi,yasio laa na yenye mwonekano mzuri
ukiona mtu ana mpenzi mwenye maTT makubwa basi anaweza akawa amependa hayo maTT au anapenda vitu vingine toka kwake
pole sana kama umepatwa na mkasa huo
kwaupande wangu jibu ni kwamba swala la mapenzi liko pande zote hata wasichana hurudi tena nakuomba msamaha cha kufanya ni kabla hujawa na mahusiano na mtu yoyote muombe MUNGU akufumbulie kuhusu mtu huyo kwani naamini kabisa atakufumbulia
hata mm mwenyewe...
MKUBWA Imagine ndio ww mkeo anamzimia jamaa namna hiyo ww ukienda kwa office. siunge pata kuchukia ajabu basi the same to you usile mali za watu mbona mali za umma kibao na zipo so cute than her
sikuombei mabaya lalikini ukila mali ya mtu na ww sikumoja utarudi hapahapa kutuomba ushauri kuwa...
Unajua inauma sana asee. swali je ww ulishawahi kumsaliti hata mara mmoja labda hiv au bahati mbaya kama ndio basi msamehe. maranyingi ni kwamba izi mambo zinatokea kwa mfumo wa mla cha mwenzie nae chake huliwa kwani maranyingi MUNGU analipa hapahapa duniani. Ila kama ww hujawahi kumsaliti basi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.