Yaani nimeshangaa sana na haya yafuatayo
1. Hivi watu wana roho gani kwenda kumdhamini Amina Maige? yule aliyemla nyama mfanyakazi/ ndugu yake mwenyewe. Inawezekana vipi ukamdhamini mtu mwehu kama Amina?
2. Eti utetezi wa mahakama ni walikataa kumtoa kwa kuhofia maisha yake kwa kuwa kesi hio...
Wadau, hii nimekuta sehemu. Bidhaa ya chakula inapigwa label imetengenezwa tarehe ambayo hatujaifikia. TBS mpo wapi? Yaani hata ukiwa mstaarabu wa kuangalia expiry dates haisadii. nchi hii tunakufa kwa mambo mengi sana kwa ajili ya uzembe wa watu wengine.:frusty:
Wana Jf,
Nimetapa bahati ya kupitia mirathi ya Hayati N. Mandela
Nimeona mambo mengi ambayo nimejifunza katika maisha na kwake binafsi
mfano:
1.Naona alipenda sana Elimu amekumbuka baadhi ya shule vyuo ktk mirathi yake
2.Tofauti na wengi ana upendo maana amewakumbuka mpaka wafanyakazi wake wa...
.
Jina lake ni Emmanuel Msuya ambae usiku wa November 30 2013 Escape One Mikocheni Dar es salaam alitangazwa mshindi wa BSS kwa mwaka 2013 na kuzichukua MILIONI 50 kutokana na matokeo kamili ya mizani hiyo ya vipaji vya muziki kwa wachanga.
Unaambiwa kabla ya hapo, Msuya hakuwahi kushika au...
Wakuu nimemuona leo Baba rizi Kavaa nguo safi kabisa yenye utaifa ndani yake. nikawaza kua sasa mchakato wa nini tena kutafuta vazi la taifa wakati lipo hilo lake?? As much as its a waste of time and taxpayers money. tuachane na huu machakatano tulisimike vazi lake liwe la taifa ( not that i am...
nina furaha kuwajulisha wadau wenzangu hapa Jf kua ule mti ( mugariga) babu anaotaja kutumia ktk tiba yake akiambatanisha na maombi ulishafanyiwa utafiti huko kenya miaka ya nyuma kwa kule hautwi jina hilo!!! ila sifa zake na uoto wake na matumizi unaonesha ukaribu sana na huu mugariga.(angalia...
Nakiri hadharani kwamba sijaelewa sehemu kubwa ya hotuoba ya rais ya mwisho wa mezi huu. katika haya yalionigusa na kufanya niandike hapa ni yafuatayo:-
Rais amedai kua kuna watoto ambao bado hawajatambuliwa na wazazi wao (idadi sijanukuu kwa nina imani ni mchakachuaji) ila nina jiuliza what is...
Nilikua napitia blog flani nikakutana na habari kua binti mmoja wa aliyewahi kua waziri hapa Tz amechomwa visu na mpenziwe cjui mume au mchumba, baada ya kumfamaniwa mume/mchumba wake na demu mwingine aliamua kumwaga mafuta ya taa na kuchoma nyunba ya jamaa kisha akaondoka. jamaa alipata hasira...
leo nimejionea mambo. hivi u modo wa aina hii huku bongo unalipa? maana ugaibuni anaweza kua alikua anatangaza chadii (ch**Pi) ila hapa bongo cjui. haya fahari ya macho.
http://a8.sphotos.ak.fbcdn.net/hphotos-ak-ash2/hs347.ash2/62755_118165901571379_100001339101765_94082_7530971_n.jpg
Wana JF!!
i hope mnapata the best of this weekend, anyways wakati mnarelax...... nawaletea tathmini mpya ya maendeleo ya Afrika yetu hiiiii.
Take your time look at the attachments then.......... utasema mwenyewe kama ni kichwa cha mwendawazimu au laaaaa.
Enjoy.
Baada ya kusikia mitaani kua eti wafungwa wanatakiwa kulipwa pesa kadhaa kwa ajili ya shughuli za uzalishaji wanazofanya pindi wawapo gerezani, ikanibidi niulize locally na kugundua ni shilingi mmoja kwa siku moja( tafadhali nisahihisheni kama nimekosea) hivyo wakifanya kazi mwaka yaani siku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.