Huyo kibosile anarecruit vijana aje bongo vyuoni atawapata kibao aje na lori, noah haitoshi. Vijana wa nchi wanavyo penda maisha mazuri bila logic wala kufanya kazi kwa bidii I am sure akiambiwa anapelekwa kenya atasahau hata kuwaagaa wazaziye kwa mchecheto. Vijana wasiku hizi hovyo sana sijui...
He is of the opinion that the police were the ones who caused the dispute to reach at the stage it had reached as should have handed the deceased body to his parents straight away.
"This is a matter of common sense. The parents are ones who could have decided where and how their son should be...
Thanks for this article nilikua ninatazamia sana mtu aje mbele na hoja kuhusu uraia pacha (to support au reject). Wengi naona wanaongelea hisia tu hamna hoja na wengi mno wanafocus kwa watu wanaoishi first world peke yake ambao wanauwezo wa kuwekeza TZ ata laki hawafiki!!!. kwanza hata sijui...
Ama kweli JF credibility inapungua siku hadi siku kutokana na mamluki waliojiita nao eti great thinkers!!!Shame on us kwa kweli.Kitendo kilichofanywa kwa mtoto ni ukatili mkubwa tunaopaswa kukemewa iwe amefanya shehe, paroko,mchungaji, mganga wakienyeji au hata mzazi...This is wrong period.Ndo...
I beg to differ, sijawahi kupenda anvyojibu hoja zake hata sikumoja. Nilishamsikia zaidi ya mara moja akihojiwa ktk radio ishu ya viwanja jimbo la Halima Mdee alimpelekea mawswali ya mantiki aliyajibu kwa ucahache na bila hata kufika katika mada akakrukaruka. mara akadai watu wanamchafua yaani...
Naomba nitajiwe japo mifano hai ya hao wana diaspora walichokifanya hapa nyumbani? like investments kubwa au hata ndogo? au bado hawajaanza wanataka kwanza wapewe uraia(wengine waliukana wenyewe) ndo waanze kuinvest? naomba nieleimishiwe kabla sijatoa hoja yangu ya kukubali ama kukataa... je...
Ephraim Kibonde akipelekwa polisi - YouTube
Mbona hili halijkaa kama ana shuti tangazo?' it seems real tena watu wanasema kabisa amaelewa.
Aibu kwa mtafsiri sheria redioni kuvunja sheria. Maana nni mjuaji sana jamaa huyu.
sasa...... ninawaza wakimlaza huko selo si watamuharibia dozi yake????!!!!!! au kuna utaratibu wa huduma ya kwanza mahabusu??. So inhumane... kwi kwi kwi :peep:
Ridhiwani ni BLUBBER MOUTH yaani yeye anaongea hata sidhani kama anakjua repercussion ya maneno yake. Mara katoa tamko la yanga mara urafiki wa baba yake na watu wengine mara chadema,..... huwezi kudhani huyu ni mwanasheria jamani..... people look bright until they open their mouths...Hakuna mtu...
Du its very sad!!! Usalama wa Taifa, polisi amkeni jamani acheni kuliwazwa na nyimbo za Amani na hello hello Tanzania. :A S-eek::A S-eek:
uhafadhi wa maiti katika mifuko namna hii inaonesha wazi its a plaaned execution::::
Yaani nimeshangaa sana na haya yafuatayo
1. Hivi watu wana roho gani kwenda kumdhamini Amina Maige? yule aliyemla nyama mfanyakazi/ ndugu yake mwenyewe. Inawezekana vipi ukamdhamini mtu mwehu kama Amina?
2. Eti utetezi wa mahakama ni walikataa kumtoa kwa kuhofia maisha yake kwa kuwa kesi hio...
We kijana mbona muongo hivyo? au ni mshamba?? tukusamehe kwa kupotosha jamii.?? Mschewxx your ignorance is beyond comparison. cheap publicity from an even cheaper PA. Diamond atadidimia akiendelea kukumbatia watu wa design yako...:angry:
Mdau nashukuru kwa ufafanuzi nilikua najiuliza zile hela zimefanyia nini? nashukuru sikuahidi katika harambee ya kijinga akamtumia Mh mstaafu akijua atawavuta watu wengi kuja. Ndo maan hatuendelei Nyasa kwetu!!!!!
Mzee wa msituni.......Mzee wa selfie ...............PLEASE BRING BACK OUR GIRLS!!!!
Mdau get your facts straight. Janeth alioana na Marehemu enzi hizo na Stara aliolewaga na watoto juu. Wamekutana juzi kati na kuambiana na wakaishi pamoja na hata msiba alitaka uwe kwake mkewe akaweka ngumu na watu pia coz ni ndoa ya kikristu haina talaka so ni kweli pole ya Janeth maana wakina...
utakua hujaelewa mada tajwa prof maji marefu, ni kuhusu wewe uliekimbia umande halafu ukaongelee matatizo ya vyuo vikuu... kama nao hao wenzio pia ni std 7 basi hata wao pia hawapaswi. Umeelewa prof???
Tunajua kwamba Prof maji marefu anayo eilmu akhera ila hana elimu dunia hivyo hawezi kuwasemea matatizo ya elimu ya sekondari au vyouni ili hali yeye alikimbia umande. angeongelea matatizo ya elimu ya uganga angekua amepatia tena sana. just common sense...:israel::der:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.