Baada ya mazishi ya jamaa mmoja huko Shinyanga, mchungaji alisimama akaongea na waumini wake. Mazungumzo yao yalikuwa hivi:
Mchungaji: Waumini mnaombwa kutoa michango ili kujenga ukuta (uzio) kuzungushia eneo la makaburi. Je, kuna mtu mwenye swali?
Muumini: Je kuna marehemu yeyote aliyewahi...
Kama hujui sema SIJUI. Kama si kazi yako ni kazi ya nani sasa? Vitu vya maana ni kama vipi mbona husomeki? Au mi kuuliza humu ndiyo tatizo? Tafakari tena mkuu.
Gesi si chakula. Ila mama zetu watapata watu wa kuwauzia hata maandazi, nyumba zitapata wapangaji, vijana wataajiriwa hata kwa kubeba mizigo, barabara zitaboreshwa, 'residual' za gesi zitatumika kama mbolea na wananchi kupata mazao bora ya shambani, wawekezaji watawekeza katika viwanda na hivyo...
Nini maana halisi ya neno "choo"?
Hospitali ukiagizwa choo unapeleka kinyesi. Hii sawa.
Sehemu watu wanakwenda haja pia panaitwa choo. Na hii ni sahihi.
Je, wadau, "choo" nini? Ni kinyesi au ni sehemu ya kwenda haja? Au kuna maana nyingine zaidi?
Si Waislamu kuchoma makanisa tu. Pia ongezea na haya yafuatayo:
1. Waislamu kuchakachuliwa matokeo yao ya mitihani kule NECTA.
2. Waislamu kuchafuliwa kitabu chao Kitakatifu kwa kukojolewa.
3. Waislamu kukatazwa kufanya mtihani wa Form 6 kule Ndanda.
4. Mwalimu wa Kiislamu kunyang'anywa...
Mwalimu mmoja wa kike alikuwa darasani na wanafunzi wake na mazungumzo yao yalikuwa kama ifuatavyo:
Mwalimu: We John unacheka nini?
John: Nimeona paja lako mwalimu!
Mwalimu: Huna adabu, toka na usirudi hapa hadi kesho!
Mwalimu: Na we Michael vipi?
Michael: Nimeona chupi yako...
Mzungu mmoja alikwenda sokoni kununua vitunguu. Muuza vitunguu alipomwona Mzungu akajificha uvunguni mwa meza ya vitunguu. Hata hivyo Mzungu hakujali na aliendelea kueleza shida iliyompeleka. Mazungumzo yao yalikuwa kama ifuatavyo:
Mzungu: How much shillings for one pile of onion?
Muuzaji...
Ujue kama kodi ya kichwa ikirudi basi ni wazi kuwa ujambazi utaongezeka mara dufu ya sasa. Watu hawataki kufanya kazi, yaani hawana ajira na hawataki kujiajiri wenyewe kwenye shughuli ndogondog kv kilimo, biashara nk.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.