Search results

  1. M

    Makanisa ya kilokole

    Haya makanisa yetu ya lilokole hapa TZ, yana tofauti gani na kanisa la huyo Paul Mackenzie wa Kenya. Yule aliyesababisha watu kufariki Moshi kwa ajili ya kukanyaga mafuta alichukuliwa hatua gani?
  2. M

    Waafrika ni wanafiki sana

    Waafrika ni wanafiki sana na ndio maana wakoloni walitutawala kirahisi na kituuza utumwani. Yanayotikea Belarus leo, viongozi wengi wa nchi jirani wanakemea na kutaka uchaguzi huru na haki ufanyike na maamuzi ya wananchi walio wengi yaheshimiwe. Tuje hapa Afrika bara la wanafiki, kiongozi...
  3. M

    Uchaguzi 2020 Uchaguzi Mkuu 2020

    Nawaza tu! 1. Kama hali ya Corona ikiendelea hivi with social distancing, kutakua na shamra shamra za kampeini nchi nzima? 2. Hali ikiendelea hivi wanachi watajitokeza kupiga kura? 3. Gonjwa hili likiendelea mpaka uchanguzi KUTAKUA NA WAANGALIZI WA KIMATAIFA WATAKAO KUJA NCHINI? Na kama...
  4. M

    Kipindi cha majanga kama Corona, utamjua Rais aliyechaguliwa na watu, kwa ajili ya kuwatumikia watu

    Raisi wa Jamhuri ya Kenya kapunguza mshahara wake kwa 80%. Kapunguza kodi kupunguza makali ya kiuchumi yaliyosababishwa na Corona. US 2 trillions $ kusaidia uchumi na watu wake. Je, sisi waTz tunasaidiwa nini na serikali yetu tajiri. 1. Inakusanya kodi kuliko awamu zote. 2. Imefukuza kazi...
  5. M

    Vodacom Tanzania ni wezi

    Nimenunua kifurushi cha mwezi mzima kuanzi tarehe 14 February, nilipata GB kama sijakosea 19GB, mpaka tarahe 29 asubuhi bado nilikuwa na salio la GB 16.3. Kifurushi changu kinaishia tarehe 15 March. Jana saa kumi na mbili jioni napata sms hii kutoka VODA “Your TSH35000 bundle balance has...
  6. M

    Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Iringa ahamasisha Mbowe, Zitto na wengine wanaoikwamisha Serikali 'washughulikiwe'

    Kuna kauli zinatolewa na UVCCM za kuua watu, this is HATE SPEACH!!! kwa nini hamchukui hatua?. Mimi nadocument hizi clips zote na natarajia kuziwakilisha kwa Fatou Bensouda kabla ya uchaguzi mkuu October 2020. UPDATE: Katibu Mkuu wa CCM amekemea kauli hizi > Dr Bashiru aonya...
  7. M

    Naomba orodha ya mawakili wapya

    Naweza kupata list ya mawakili wapya walioapishwa leo December 13 2019?
  8. M

    Wakuu wa Wilaya, cheo cha mkoloni kudhibiti waafrika kwa niaba ya gavana mwakilishi wa Malkia nchini

    Mbona sijawahi sikia mkuu wa wilaya ya Kisarawe kamweka ndani mtu masaa 48, kwa amri ya mkuu wa Wilaya. Niseme ukweli siwapendi wakuu wa wilaya wengi na CCM kwa ujumla, lakini huyu mkuu wa wilaya ya Kisarawe anafanya kazi kwa ustadi sana na ana utu kwa watu wote.
  9. M

    Gharama za Internet bundle zimepanda ghafla!!

    Jamani kwa wale mnaotumia VODA, mara ghafla week hii gharama za kununulia vifurushi vya internet bundle zimepanda. Ile bundle ya week ya 5000 Tshs kwa 1gb kwa sasa ni 800mb. JE VODA WAMEAMUA KUTUKOMOA WATUMIAJI ILI KUFIDIA GHARAMA ZA MALIPO WALIYOLAZIMISWA KULIPA ili kumaliza kesi?
  10. M

    Napendekeza CAG akague accounts za makanisa

    Ndugu wanajanvi wenzanu, napendekeza Bunge la JMT litunge sheria ya kumwamrisha CAG kukagua matumizi ya pesa za makanisa na taasisi za dini zote. Sababu - hizi ni public funds, kwa sababu ni sadaka na michango ya waumini, fungu la kumi ni kodi. (Hawa wenye makanisa watasema ni toleo kwa mungu...
  11. M

    The animal farm 1999

    WanaJF wenzangu naomba kwa wale ambao hamjawahi kuitazama filamu hii kwa jina la “THE ANIMAL FARM, toleo la mwaka 1999. Tumia mda wako kidogo weekend hii kuitazama then, kwa wale wachambuzi wa mambo tuijadili hapa. Nawakilisha.
  12. M

    Nini kimemsibu Rais wetu hadi kubadili yale aliyoahidi kupambana nayo Mwaka 2015 wakati wa Kampeni

    Jamani mwenzenu nina shauku kubwa ya kupata majibu ya maswali yangu haya; niliuliza mwaka jana (2017), na leo narudia tena kwa mara ya mwisho. Raisi wetu mpendwa alivyokua anapiga kampeni ya kuwania uraisi mwaka 2015, alitangaza vita kukabiliana na haya yafuatayo:- 1. Ufisadi. 2. Matumizi...
  13. M

    Naomba maana ya maneno yafuatayo

    Ndugu zanguni humu jamvini naomba maana na mifano ya maneno au sentensi zifuatazo. 1. Uchochezi 2. Kumtukana Rais 3. Kumchonganisha Rais na wananchi.
  14. M

    Watembea kwa Miguu

    Hivi haki yetu watembea kwa miguu haipo tena hapa Dar-es-Salaam, na Tanzania kwa ujumla? Leo nilitembelea maaeneo ya Kariakoo hasa barabara ya msimbazi, pedestrian walk zote zimegeuka pahala pa kupanga bidhaa za wamachinga. Inabidi abiria wa pishane na magari kwenye barabara ya magari. Hali ni...
  15. M

    Hivi kipi sahihi, Wananchi kuiogopa Serikali au Serikali kuwaogopa wanachi,

    Wanachi kuiogopa serikali, ujue hapo kuna tyranny, na uongonzi wa kidictator. Serikali kuwaogopa wanachi, hapa kuna democracy, mamlaka yanatoka kwa wananchi. Serikali inawaheshimu wananchi wote kwa sababu inajua wanaweza kuitoa madarakani kwa kutumia sanduku la kura.
  16. M

    Is Mwigulu, an innocent victim or Mbuzi wa kafara?

    Ya Muhimu kwa mkuu 1. Lugumi 2. Magari 3. Uniforms 4.Vyeo 5. Ajali barabarani 6.Wafungwa hawafanyi kazi 7.NGOs 8. Work Permits .... By the way, lakini hayana umuhimu kwake. Watu kupotea, Lisu kupigwa risasi, maiti kuokotwa coco beach n.k
  17. M

    Je, Rais wa Tanzania ana uwezo wa kumfukuza kazi Makamu wa Rais?

    Kwa wale wajuzi na wabobevu wa KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, naomba mtujuze, Je Rais anao uwezo kama ikimpendeza kumfukuza kazi makamu wake wa Rais na kumchangua mwingine kama afanyavyo kwa mawaziri?
  18. M

    Kwanini watawala wengi wa Kiafrika hawapendi mitandao ya Kijamii?

    The Greek word for “truth” is aletheia, which literally means to “un-hide” or “hiding nothing.” It conveys the thought that truth is always there, always open and available for all to see, with nothing being hidden or obscured. The Hebrew word for “truth” is emeth, which means “firmness,”...
  19. M

    Usalama wa fedha zetu kwenye benki zetu upo? Nimetumia ujumbe kadi yangu imefanya muamala India

    Leo nimepata ujumbe wa SMS kwamba kadi yangu imefanya muamala kwenye ATM huko India, kucheki balance Laki tano zimeondoka. Wamajamvi wenzangu, usalama wa fedha zetu ni mzuri kweli, kwenye mabank yetu? Au tuanze kuweka fedha majumbani kwenye mchago kama zamani?
Back
Top Bottom