Ukisikia zuzu ndo huyu ndugu yangu mwigulu madelu nchemba. Mkutano wa chadema haukuwa na lengo la kupambana na sisiemu wala utawala wake dhalimu, bali mkutano huu ulikuwa mahsusi kwa kukusanya maoni ya wananchi juu ya rasimu ya katiba. Mwigulu akaona ni vema alete timu ya mpira ili watu wengi...
mimi printablue patriq. Nikiwa na akili timamu na bila kuwa na shinikizo toka upande wowote ule, nakiri kwamba leo sitachangia hii mada maana naishi nyumba moja na mwislamu anayeunga mkono maandamano
naona kabang yako inakubipu ama kuwasha. Ni lini tanganyika ilikuwa sehemu ya upuuzi wa kwenu zenji? Natamani nije na bomu hapo uislamuni niwape ndonga hadi muache huu ujinga wenu. Nani aliwaambia sisi tunapenda 0713?????????????????????????????? Kabang!
naona mmeanza kurudi kwenye wazo la serikali za majimbo. Sio mbaya rudini kwenye majimbo tunawakaribisha sana. Kumbe kuna siku unaachaga u gamba unarudi kwenye reality?
mara ya mwisho kijana huyo aliyebabuliwa na tindikali (pole sana musa kwa kuwa ni tendo baya kwa kila mwanadamu) alikuwa anakunywa kiroba na safari akichanganya pale sterio hotel usiku akiwa na tecno akibrowse browse na kutema mate mithili ya nyoka. Nilimwonea huruma kutumiwa na mtu kama mwigulu...
we endelea na mawazo yako ukijifariji kwamba tu waongo. Nilifurahi sana nilipokutana tiss oficer mmoja wa iramba aliposema hajui dvr ni nini na kazi yake. Nikabaini hakuna uchunguzi hapo wala maarifa ya ki intelijensia wanayodai wanayo. Nilicheeeeka hadi basi. Kidogo nitoboe siri ya nyumba...
tolea maelezo kambi ya kijeshi ya ulemo kabla ya uchaguzi mdogo wa igunga. Ulikuwa unafundisha afya, elimu na mapokezi ya kiongozi yupi? Mwisho wa siku yatawekwa wazi. Ugaidi ufanye wewe kisha useme cdm. Nani alianzisha kambi hiyo ya ulemo?
naona leo nyumba imevamiwa na wezi: Molemo, ritzi, ze marcopolo ndo hayupo labda hana credit za kuingia jf, jinamizi, hata m23 bbado amekaa lumumba akisubiri chochote akaweke vocha
Nape ( mnyiramba aliyeharibiwa ) nafikiri ushauri wa mahengela umeupata vema. Harakati hazimaanishi ugaidi, siasa za ugomvi, na mambo mengine mabaya. Please wewe ni kijana sana kuliko mimi, yamkini waweza kusoma sana hata yale magumu ukayajua vema.
Ona mawazo yako yanavyokudhalilisha: Hebu...
wewe nduka origino: Huna tofauti na political prostitutes wenzako kama mrema, kabourou, nk. Uamuzi uliufanya mwenyewe. Sasa unataka ushauri wenzako wakufuate ama wafanye nini? Baki huko huko. By the way ulikuwa na impact yeyote kwenye cdm? Kwanini unatujulisha? Mbona kuna wengi wameondoka wenye...
pasco! Kuna siku huwa unakuja vizuri humu katika reasoning. Lakini kuna siku unakuja ki mwigulu kabisa. Huwa nakushangaa sana. Sasa wewe umeenda kwa tendwa kufanya maongezi yasiyo rasmi kisha ukatumia maneno maguumuu ya kisheria kwa mzee ambaye ni "old dog who cant be taught new tricks of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.