Kwa akili zangu, nimechunguza sana nikaona matatizo mengi ya mauaji na visanga katika dunia hii huletwa na mapenzi.
Ukiepuka mke/mume wa mtu na wanafunzi utakuwa salama. Tafuta wasio hao.
Habari zenu ndugu zangu.
Watu wengi walikuwa ama wanayo nadharia kuwa mke bora ni mwalim kwanza mlezi mzur,mvumilivu na anamaadili mema.inawezekana walimu Wa zamani walikuwa hivyo ila hawa wasasa wanaume wenzangu msidanganyike
Mapungufu yao hawa Wa zama za technology wengi wao wajeuri,wanaishi...
Habar za j pili wakuu...naanza hivi Kama huwez kumuacha mumeo au mkeo basi usimchunguze CMU yake Leo siku ya Tatu mke wa jirani yangu anaishi kwa sononeko moyoni....ishu ilikuwa hivi alichukuwa simu ya mumewe akaseti SMS anazotuma mumewe zibaki ktk simu bwanaweee mtego wake ukanasa mke kaona...
jaman dunia inamambo! mke wangu alikua anakuja narafikie hm cha ajabu rafikie alikua mtu wautani sn kama nilivo me. siku hiz haish kunipigia cm mpaka sa 6 ucku na me np mbali na wife kwan np mwanza kikaz wf yupo dar chuo.anapopiga cm huongea maneno yakimapenz na mitego nikahic bado utan! wf...
jaman mwanajamii mwenzenu nimekuja mwanza lakini sijampata wakunikaribisha nakuomba we dada nikaribishe nipate wakunihifadhi mji huu wawa2 jaman mwana jamii mwenzenu baridi
heti bandugu najamaa kwanza naomba nijitambulishe rasmi nami nimo kundini. halafu nauliza kuna kosa lolote la mtoto wakike kumchana live mwanaume kama anampenda kimapenz?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.