Hii hadithi yake ina fanana na alfu lela ulela.
Haina kichwa wala miguu
Umbea, uongo na uzandiki.
Mimi nilikuwepo kwenye mikutano ya Mbowe.
Mapokeo was wonderful.
Msubirini 2025. Mafue amejaribu kuweka mikutano ameshindwa wewe una leta upuuzi hapa?
Asubiri tumuwekee pay slip ya mshahara wa mbunge.
Mbowe habahatishi anapo ongea. Huwa ana uhakika na data zake.
Yaani Ccm bila aibu wana sema hata 13m hazija fika, wakati Mbowe ana sema ndio mshahara waloo kuwa wana pata kipindi wako bungeni?
Ccm imesha tjona Watanzania ni viazi buruga.
Mke mwenza???
Ila rekebisha content yako.
Chadema hawana wabunge wa viti maalum.
Huyo ni mbunge wa tume ya uchaguzi na spika Tulia Ackson.
Waki lindwa na mahakama.
Ina semekana Johnson yuko selo ya polisi ostabey leo siku ya tano bila dhamana wala mawakili na ndugu zake kuruhusiwa kumuona.
Pia kuna tetesi za kumfungulia kesi ya uhujumu uchumi.
Hata aombewe wapi!! Kama hamta sema nanibali mpiga Lissu risasi na kuwapoteza kina Ben, basi hatakaa aione pepo. Atakuwa kuni maisha yake yote huko ahera
Majimbo yafuatayo hakuna wabunge hadi ila tume ya uchaguzi haiwezi kufanya chochote hadi 2025
1. Mbeya Mjini
2. Moshi Mjini
3. Kibamba
4. Kawe
5. Nyamagana
6. Ilemela
7. Shinyanga town
8. Kaliua
9. Urambo
10. Sikonge
11. Tabora mjini
12. Majimbo yote ya Mtwara
14. Majimbo yote ya Singida
15...
Mwigulu ni master mind wa huo wizi. Pesa haiwezi toka hazina kwenda wilayani bila waziri kujua.
Hivyo yatokeayo yote jamaa ndie huagiza
Ila Mama nae ana zengua. Sasa ana tuambia sisi tufanyeje? Maana yeye ana wenye kumpa taarifa wengi kuliko sisi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.