Your Right naona wachangiaji wengi wanashangilia kubembelezwa kwenye suala la ulipaji Kodi,bado Tanzania hatuja fikia hatua ya mlipa Kodi kuonafahali kulipa Kodi kwa hiari Kwanza wafanyabiashara wetu wanafikiria namna ya kukwepa kodi yaani sio Kodi tu mtu Kwanza anafikiria hata kuiba umeme wa...
Inakuwaje makinikia yanapunguza uzalishaji na kuadhiri pato LA ACACIA wakati matakataka michanga mabaki ya dhahabu hayana thamani kwao maana walisema hayo hutolewa baada ya dhahabu kuondolewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi MTU unamali uliyomshika nayo mwizi unahitaji makaratasi ya nani udhibitisha kilicho ibiwa??yaani ukubali makaratasi tu yenye maandishi kila MTU anaandika tu.Mali IPO tuliyomkamata nayo mwizi kwetu ni malontena yenye makinikia
Wenywenye akili wanajua Magufuli anafanyanini wapigaji ndio wanalia kila siku wazalendo wa nchi hii tunatamani Magufuli aendelee miaka 20 ijayo tubadili katiba
Kwani yeye Mzee Mwinyi sindio kipindi chake watu waliondoka na matofali ya dhahabu kupeleka ulaya.kuua azimio la Arusha.uuzaji wa viwanda na mashirika hats ATC no huyuyhuyu Mwinyi anapata wapi ujasiri wakumnyooshea JPM anayefufua hayo mashirika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.