You are unbelievably Stupid!! Yaani ili watoto "wenu" wasome unaona bora kuwadanganya wamepata C kumbe actually ni F!!! Bora waende wenye F wakijijua ili wakaze msuli, Stupid!
Halafu tatizo mgonjwa hajitambui kabisa!! Dr. Kasema hapo sijui ana disorder gani ya kumfanya aji mwambafai kuonyesha mjuzi, mjanja mwenye influence etc. Lenyewwe linakurupuka post ya kwanza kututangazia kaenda wapi sijui kibiashara! Kha! disorder kubwa sana kutuwekea mbwembwe zako za kimaaisha!
Personally kinachonitisha ni jinsi gani WaTZ tunavyoweza kupoteza target. Hivi kweli CDM, chama kisichokuwa na dola kina weza kutengeza Plot kama ilivoainishwa kwenye You tube na kuitekeleza, tena kwa kipindi kirefu hivyo wakati kuna watu tumewapa dola, madaraka na kila aina ya resource...
Mitanzania bwana itaendelea kujikomba kwa hao wanaodhani mabwana. Jaji gani anaeponda kiasi hicho!!? Hemed kafanya sahihi kabisa kumpa ian ALICHOTOA. Mingurumbembe mingine inamuoana ian mungu! Yule mkulima tu ndio maana hamshindi chochote kile mnababaikia na wa upande wa pili! Umaskini jeuri...
Kanisani na vigangoni ndipo alipo kampeniwa JK 2005 wakati maaskofu walipojidanganya ni chaguo la mungu; wamegundua ni upupu mtupu wanasema wananchi wamweke mtu mwenye nia ya kweli ya kuleta maendeleo, imekuwa nongwa!??
Unaongea kwa niaba ya chama gani mzee?
kama ni cdm kwa gia yenu ya udini...
mkuu wale ilibidi kuwastua walikuwa wanauza ardhi yao kijinga kabisa! To be fair ni vyema kuwajulisha ardhi ni mali na wasiuze hovyo wasije kuishia kuwa manamba hukohuko kwao.
Respect
Huyu bwana anakitu chake very personal na anataka kupata support ya wanabodi kwa kutumia hoja ya nguvu na jazba. Utaona ni mtu aliepita SUA kimasomo au kikazi na akaathirika, mwenye chuki na dharau kubwa kwa watu wa kanda ya ziwa, anaedhani kwao mbeya ndio bora zaidi na labda mtu toka kwa wasomi...
Chuma, Wahenga wanasema ukipenda chongo utaita kengeza! Ndio kinachoondelea hapa. Kwasababu moja au nyingine Huyu prof kapendwa sana hapa sasa hata amwage utumbo gani atatetewa tu. Kama waziri na kipato chake halipi bill kwa taasisi ya umma ambayo inaendeshwa kwa hizo bills, unadhani ana sifa ya...
Mkuu, ukweli ni kwamba binadamu tuna hulka ya kupenda kuona mtu mwingine akianguka, tena basi mkubwa akianguka anakuwa na kishindo kikubwa na watu wengi zaidi wanafurahi. Sasa hapa kuna extremes; ukiwa mwema sana(wachache sana hawa) wengi watasikitika. lakini kama unamapangufu tena basi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.