Mimi pia na mtu ninaeamini kuwa afya ya mtu mara nyingi ni mapenzi ya Mungu. Lakini kwa hili la Lowasa sasa linanitisha kwani dalili zipo wazi. Watabibu tufumbueni macho.
Sijawahi kumuona lOWASA akila hadharani. Nimesikia analishwa siku hizi. Hapo kwenye dhifa ya kitaifa akialikwa huko majuu iatakuwaje.. unaweza ukadhani nakashifu lakini just think critically.
Alipokuwa anatangaza nia kule Arusha Lowassa alihutubia kwa dk 20. Juzi Mbeya kahutubia kwa dakika 16, Arusha Dakika 7 na Zanzibar Dakika 11. Hivi huyu Lowassa ataweza kuhutubia mikutano ya Kampeni zaidi ya minne kwa siku?
Ataweza kuzunguka nchi nzima kama alivyokuwa anafanya Dr Slaa? Mwisho...
Kıpindi kile serikali inamshughulikia sheikh Ponda mbona matusi kwa polisi hayakuwepo? Sheria ni msumeno jamani, tukae kimya sherıa ichukue mkondo wake.
Mumwambie Sugu aache kuitumia timu kama mtaji wa kisiasa. Itatelemke. Mimi nipo hapa. Kule Iringa nako Lipuli ilikuwa inafanya vizuri lakini alipoingia Msigwa tu timu imeshindwa kupanda.
Kushuka kwa kasi kwa kiwango cha uchezaji wa Mbeya City kumeshtua wengi.
Lakini timu hii hii ilipokuwa chini ya Manispaa ya Mbeya mwaka jana ilifanya vizuri sana. Ikajichanganya na kuingia kwenye siasa za vyama matokeo yake ndiyo haya.
Mhe Sugu livyoingia kwenye Timu hiyo ndo kaharibu...
Mbona alikuja Rais wa Ujeruman hapa kwetu, alipokewa na nani. Hivi unajua nguvu ya Seneta Kenya kwa mujibu wa katiba yao mpya? Kuna tofauti kubwa kati ya State visit na Working Visit.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.