Acheni siasa za Maji machafu tujadili mbona mambo yako poa tuu wewe unasoma tuu kwenye gazeti unaamini mbona wagonjwa wanatibiwa vizuri tuu na gharama zimekuwa kama zamani nyie endeleeni na kwenda hospitali za private muendelee kupigwa pesa
Mbalamwezi umenena kweli kule Kwa siku no zaidi ya BMK watu wanalamba dola 400 hadi 600 kwa siku Kwa bongo ni salary ya mwezi na nusu Kwa nini watu wasijaribu
Ni akina nani maana mfomo wetu Wa afya ni dhaifu kiasi kwamba hata ukiambukizwa huko utakufa kivyako wala hamna life insuarence labda watakao enda ni watu na njaa zao za pesa maana hapa bongo professional ya medical hailipi kabisaaa.
Napenda kuwauliza wenzangu hivi Kwa tathimini yenu ndogo kweli itasaidia kupunguza foleni au ni shida tuu Leo nimekaa kwenye foleni masaa matatu.Mimi Kwa uelewa wangu nashauri magufuli awake flyover kwenye traffic light wananchi tunapata tabu sana jamani.
For sure hawa NHC lazima watafilisika tena baadae serikali itabeba deni hilo kubwa sana Kwa hiyo nashauri watu wawe makini kununua Nyumba hizi za bei hii
Wadau hebu jiulize umeshuriki VIP katika siku Hui athimu ya kinywa Na meno je umeshawahi kwenda kwa daktari was kinywa Na men I kwa ajili ya uchunguzi.ninawashauri muwe Na tabia ya kuchunguza afya zenu Mara kwa mara
Kusema ukweli kilichotokea mjengoni jana sio siri wananchi wamehuzunishwa sana kumbe wale watu hawako kwa maslahi ya nchi hii kwa nini bunge katiba lisifutwe kabisa haina maana yoyote kabisa.nawakilisha
Wajinga sana hivi sijui serikali ipo wapi mbona hawa wanavunja sheria za nchi unakuta mtu anauza kachupa cha juice laki moja.
Na maskini mtanzania anayeumwa anaambiwa nunua unywe utapona.achani kuwadanganya watu
Maada hii ni tamu kweli kiukweli mimi ni mchunguzi wa mambo sana lakini huyu jamaa hana pesa ya kuitwa bilionea alikuwa na hela ya kuishi na kufanya mambo yake yeye na familia yake hata sehemu alizoishi ni za kawaida ila pia alipataje hilo ndio swali gumu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.