huo ndo mpango wa wanasiasa wa Tanzania as long as kuna goverment schools nyingi hope utachaguliwa ila majanga yanakuja kwenye mtihani wa form six sijui na wenyewe mtabebwa so u have to work hard
swala la mabadiliko ya katiba lipelekwe haraka ili kwamba uchaguzi ujao wa mwaka 2015 tuwe na katiba mpya itayotuletea tume huru ya uchaguzi na mabadiliko ya daftari la kudumu la kupiga kura, Tuchukue mfano kwa wenzetu wa kenya na jinsi mfumo wao wa usajili ulivyo ili kuepuka uchaguzi wa...
kuhusu mgomo wa walimu kiukweli ccm wanatupeleka vibaya na wanatumia siasa katika mambo yasioitaji siasa, Maana walimu wetu ndio wanaowatengeneza wao wawe katika nafasi zao. kama Raisi wa nchi ndio anatoa tamko kama lile unategemea nini? watarudi shule lakini watakayoyafundisha ni kinyume na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.