Mbona ni kama hiliswala lipo kisiasa siasa zaidi Mtwara na Lindi wanafaidi na wataendelea kufaidi msiwapoteze wahimizeni wapeleke watoto shule, maana hata gesi ikibaki huko litazuka jingine wasipokuwa na elimu hawataajiliwa au wanafikiri watakua wanagawiwa mikate
shida ya mtu aliyesaidiwa ndio hii... yeye kusaidia wenzake inakua ngumu acheni umimi... hongera prof kwa ufafanuzi umeeleweka lkn kwa asiyetaka kuelewa hajaelewa na hataelewa kanyaga twende
mkuu usifanye kosa kuoa bila ridhaa ya wazazi, maana maisha ni zaidi ya watu wawili.. jadilianeni vizuri na mkeo... usitumie jazba swala la muda tu litaamua "time will tell'
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.