Iko hivi ndugu.... Wakati wa usaili wa mahojiano marks hutolewa kwa kila mtu. Wale wote waliopata zaidi ya 50 huchukuliwa mfano, tangazo linataka watu 10 na mliopata zaidi ya 50 ni 20, 10 huchukuliwa then 10 wengine hubaki reserve.
Ikitokea nafasi mpya kama hiyo, hao walioko reserve hupangwa...
we dogo huo ndo mda wa kupumzisha akili baada ya miaka kadhaa ya purukushani na waalimu...... so take that time to relax ukianza kuwaza masuala ya kazi utakata tamaa ya hata chuo cause kaka zako na degree zao wana mpaka 3 years mtaani wanatembea na bahasha za kaki......... na ukisema una elimu...
wewe usitufanye sisi wendawazimu..... mtu unapata mkopo ihali huna hata propasal!!!!!! elimu zetu za std 7 zilitufanya tuwe na uelewa.. kama huna cha kupost soma tu post za watu cause humu kuna member zaidi ya 100,000 ila sio kila mtu anapost
wewe usitufanye sisi wendawazimu..... mtu unapata mkopo ihali huna hata propasal!!!!!! elimu zetu za std 7 zilitufanya tuwe na uelewa.. kama huna cha kupost soma tu post za watu cause humu kuna member zaidi ya 100,000 ila sio kila mtu anapost
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.