Kuanzia usu mpaka colonel vimebaki vile vile, difference ni nyota badala ya kua na pembe nne imekua na pembe tano kwa maana halisi ya nyota.
Kuanzia brig gen upwards vimebadilika kwa maana ya brig gen anakua na cheo cha maj gen cha zamani, na maj gen anakua kama lt gen na kuendelea
Mtoa mada upo sahihi.hivyo ni vyeo vipya tangu september 2015.pasco vyeo vyako ni vya zamani.na kwa kuongezea nyota mpya zina pembe tano kwa maana halisi ya star, sio pembe nne kama zamani.
Huyo unayemuongelea ni mariyoo analelewa tu.mume hasa wa huyo bibie alifungwa miaka mingi sababu ya hizo dili zao.na anakaribia kutoka.huyo dereva taxi itabidi ahame mji maana jamaa ni mafia hasa.
Ni mpigaji sana wa mjini.amepata utajiri kwa kuiba shaba kwa kutuma vijana kuteka malori ya kutoka zambia.mumewe yupo jela miaka mingi anakaribia kutoka.alikua anakaa salasala, i guess bado hajahama.
U hav no respect for the deceased, no remorse to family members and total disrespect to other JF members,,seems like you know everythng,
U must be mentally retarded
afu for the record, marehemu alikua mkufunzi 92KJ
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.