Nasikia huyu bwana manongi ana vimwana zaid ya wawili ambao hawaguswi, kuna moja muhindi na mwingine mswahili na wote wapo idara moja. Muhindi alipandishwa cheo baada ya kumridhisha king'ono zaid ya yule mswahili, kilichomharibia mswahili aliolewa kwa hiyo ikawa anapata defence mechanism tu, lkn...
Hivi huyu kigogo manongi si yule alimpandisha cheo binti mmoja wa kihindi hapo tcaa kisa rushwa ya ngono? Binti mwenyewe nasikia hata hajiwezi. Sijui nchi hii tunaenda wapi.
Hivi huyu kigogo manongi si yule alimpandisha cheo binti mmoja wa kihindi hapo tcaa kisa rushwa ya ngono? Binti mwenyewe nasikia hata hajiwezi. Sijui nchi hii tunaenda wapi.
kwani yule binti mwanzoni wakati anajiingiza kwenye ngono hakujua huyo bwana ni muislamu?, nashauri kama bint hayuko tayari kubadili dini atafute namna ya kuishi na mtoto vizuri, au la kama hamna jinsi akae na mzazi mwenzake wayajadili vyema kwa utulivu kuhusu mtoto, naamini hekima ikitumika...
sasa wewe unapoenda kwenye kongamano ni lazima uvae kanzu au hijabu? mbona sijaona kwenye thread kama kavitaja vitu vya kuvaa.? jitahidi kuwa na busara mzee mi nadhan aliyepost kapost kwa nia njema ila wewe unataka kuingiza ukereketwa jambo ambalo sio zuri.
Mi nashangaa unadai ushahidi wakati wewe umebaki kusema umeshuhudia, sasa tufanye hivi lete huo ushahidi kwanza ili tuone kweli siyo propaganda, kwa sababu hata mimi huwa nasali kanisani najua kampeni zinazopigwa kuhusu CDM
Baba hakosei kwa mtoto, kwani hata wewe ulikuwa na makosa kwenda guest na mtoto wa watu, ujue ukimwambia mama yako ndoa inavunjika na amani ya ndani ya nyumba yenu haitakuwepo, cha kufanya ni wewe kama una ongeaga story na dingi yako, jitahidi kumshauri abadili tabia kama mtu mzima inamshushia...
Kaka uwe unaangalia basi na vyombo vya habari ili usiwe mdaku, unajua ni aibu sana kuongelea kitu ambacho kila siku watu wanakisemea na kufafanua, naomba nikuope taarifa juu ya kukatikax2 umeme, ni kwa sababu hali ya hewa wametangaza kwamba kunaweza kuwa na mvua kubwa ambazo zinaweza zikaleta...
Tatizo lako unafananisha ofisi a kiraia na za kijeshi, sasa kwa taarifa yako jeshini wakati mwingine unaweza kuchukuliwa hata mkeo hajui umeenda wapi, na hata wewe mwenyewe usijue unaenda wapi, unapata maelezo mbele kwa mbele. hilo ndo jeshi baba, kama ulikuwa hujui, kazi ya kuchokonoa kwamba...
Unajua unachekesha sana ndg ha ha haaa, hivi mumeo akinya kitandani na wewe utakunya? na je kitanda hicho kitalalika kweli? je mwenzie akivunja sheria bila kusababisha madhara, akafanikiwa na wewe ukavunja sheria kwa kufuata mkumbo ukasababisha madhara na ukanaswa. je utasema uko halali...
ile kesi ipo kwenye maadili ya bunge, kumbuka kwamba IGP ni Askari na Waaziri ni mwanasiasa, IGP atasema mahakamani kama ushahidi na sio kwenye vyombo vya habari kwasababu media sio mahakama. na Ncimbi alisema hivyo ili kujulisha wananchi kuhusu silaa ni mtu wa aina gani kama sio Gaidi.?
Kaka nimeanza kukupenda kwa sababu unauliza maswali ya msingi sasa, Mambo yanayohusiana na ya kijeshi huwa hayatangazwi kwenye magazeti na maana ni Police Force kazi tu sio siasa, na kazi yao ni kutuliza ghasia na kulinda amani ya ndani, sasa unasubiri uje uambiwe kwamba polisi wanaenda wapix2...
Tatizo ni kwamba boss wenu alitangaza ugaid wa kujitoa muhanga kabla ya mkutano na kweli imetokea hivyo sasa kitu ambacho huelewi ni nn hapo? wewe ndo hautoelewa kwa sababu unareason kiCDM. Pole weeee.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.