Nasema tu lakini inaweza kuwa sio kweli.
Kama yule mzee waliyemzika zanzibar alikuwa kwa corona.
Basi huko zanzibar kutakuwa na shida sana.
Huku kwetu tumezoea shida.
Walokole wajinga sana!
Leo nimekuwa na walokole flani, nikawaelezea wawe waangalifu.
Yakanijibu " ambao hawana Yesu ndio watakao kufa na korona"
Pumbavu kabisa! ndiyo maana walokole wanasemekana wamechanganyikiwa kidogo.
Nashukuru kwa kuwa limetokea barazani kwenye kioo cha jamiii.
Na kama hawatachukua hatua watakwisha na tutakwisha!
Mtanzania chukua hatua, nawa mikono kwa sabuni, epuka misongamano.
kama huna safari ya lazima usije Dar es salaam! Please!
Mmmmmmmmmmmmmmm! Ila tutataka awe mfano wa kuigwa aje DSM na aendelee kwenye mikusanyiko huku akipiga kazi.
Ila tukumbuke maneno ya Rais mstaafu "Changanya na zako"
Tukisema wewe ni kigeugeu unasema tunakuandama na kukusemea uongo.
Jana ulisema Jamii forums Basi!
Sasa bado upo humu unafanya nini Pascal si uende huko?
Haaaaaaaaaaaa! hivi haukuwa mwanachama wa CCM kweli?
Kwa mimi nilijua na haiba yako ni mwanachama wa CCM.
I think you Just create News.
Kimsingi ni kama unacheza na mfuko wako huo huo unatoa pesa huku na kuweka kule.
hongera.
Umeji cheap price.
Kumekuwa na kashfa za hapa na pale kati ya nchi hii na nchi zile kwamba wengine wanachukua juhudi na wengine wana wemejachia kama hakua corona. Nimesoma leo asubuhi Watanzania tumeanza kushutumu nchi zingine kama kejeli kwamba wapambane , mara wajibebe nk.
Sisi tuliochagua kula Mboga...
Umeandika vizuri sana. your greater thinker.
Ila umeharibu kidogo umeandika kisiasa sana. Ijapokuwa huu ni wakati wa kupima akili kubwa na ndogo, maamuzi magumu au ya kigugumizi.
Pia ni wakati wa kuweka imani kwa serikali yetu au ku demotion serikali hii kwa hatua na uharaka wa kushughulika na...
Hivi CCM naona sasa ebu tuwazungumzie kwa ukali kidogo.
Hivi Makonda na genge lako ni lini mtatofautisha siasa na kazi,
Ni lini Utatofautisha mzaha na hekima.
Ni lini tuwasubiri mkue ili tuwaamini?
Huu si wakati wa mzaha kwenye gonjwa hili.
RC Makonda nilikuwaga ninawaza waza pia kwamba...
Nionavyo Mimi hawa vijana wetu wanafanya fujo sana, hawafuati sheria wala utaratibu.
Mimi ninafikiria mamlaka hasa IGP awatangazie wananchi kwamba hawa watu wanapokuja kumkamata mtu wafuate sheria na utaratibu.
Ndiyo wakati mwingine mtu anakamatwa mjini sio nyumbani basi waoneshi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.