Hii sheria ya magazeti ya 1976 ni kati ya sheria 25 zilizo orodheshwa na Nyalali, aliyekuwa jaji mkuu, zinazotakiwa kufutwa. Sheria hii hutumika kufuta magazeti yanayo kosoa serikali na kuvitisha vyombo vingine vya habari. Kwa sheria hii ya Magazeti ya 1976 serikali ndiyo mlalamikaji, mwendesha...
Nakubaliana na uamuzi wa kulifikisha hili suala mahakama kuu kuipinga sheria hii ni mbovu inayo pora haki zetu mchana kweupe. Inafanya maisha bora kwa kila mtanzania kuwa ndoto. Tuna mkumbuka Nyerere:A S cry::A S cry:
Ni kweli serikali imepitisha sheria kuzuia watu wanao acha au kufukuzwa kazi kudai mafao yao kabla ya kutimiza miaka 55. Huu ni upuuzi wa hali ya juu, sijui nchi inakwenda wapi. Hivi inaingia akilini mtu anae dai milioni 10 kusubiri afikishe umri wa kustaafu ndiyo apewe hiyo milioni kumi...
Kwakweli nimekuwa nikifuatilia sakata la madaktari na serikali kwa huzuni sana. Tangu mgogoro huu uanze maisha ya watu wasio na hatia yamepotea. Swali ni nani alaumiwe, madaktari au serikali? Kwa wananchi wengi, ukisikiliza redio, lawama nyingi zimekuwa zikielekezwa kwa madaktari. Inawezekana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.