Wizara ya afya tunaomba ifanye mabadiliko kwa viongozi wa mfuko huu hasa mkurugenzi mkuu wao maana jamaa ni mbabe kama nini anaongoza kwa ukatili na manyanyaso kwa wafanyakazi.Kaweka viongozi wachini yake kama vivuli tu kila jambo anaamua mwenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.