Kwanza huyu mama hana heshima kwa watanzania kutuambia amepewa dollar milion moja kama zawadi alitakiwa akamatwe na huyo aliompa hizo hela.Waziri mzima unajitetea kitoto.Eti sikujua?shame on u.sheria inasemaje kwa kutokujua?
Nina wasiwasi mkubwa na hii kigamboni inayoonekana hot cake saa hizi baada ya miaka hamsini baada ya uhuru.Isije ikawa kuna ugunduzi wa sri umefanika na kukaonekana kuna mafuta/gesi na mataifa makubwa ndo wananyemelea nasi tunadanganywa tunajengewa mji kisasa.Mikataba yote imekuwa siri na hata...
Ni jambo la kushangaza mwanamme mzima kuhama kutoka nyumbani na kwenda kukaa hotelini kisa umekuwa waziri.Ni kukosa uzalendo,kuwa mlafi na wala huwezi kuwa mfano kwenye taifa.100m si mchezo jamani!!!si halali hata mara moja kwa mimi kuendelea kulipa kodi.Lakini turudi nyuma mzee fastjet ndo...
kwa hali ya kawaida mtoto kama anatembea kilomita 6 kwenda na kurudi 6 haina maana ya kuitwa mwanafunzi afadhali wamuite mwanajeshi.Afadhali Lema amefanya maamuzi magumu na kuifunga hiyo shule wacha mkuu wa wilaya atape tape then naye ataifunga lakini kwa kupigwa stata na Lema.
kwa serikali...
Huyu balozi wa uswisi hakutaka kujilinganisha na Warema kwa njia yeyote alitoa maoni yake kuhusu mahela ya walala hoi wa Tz na amesema Serekali haijafanya chochote kutaka hayo mahela na ni ukweli huo usiri anaosema na kuulinganisha na mvua samaki ni yaleyale maeneno ya Hosea ambayo hayatusaidii...
VIKWAZO
kaka unalilia viela vidogo wakati kuna mahela yapo uswis hata amdai.
Mi naona lema alipwe na wale majaji vihiyo waliotoa hukumu feki ya kumkandamiza lema kwa kulazimishwa na ccm.
Pia alipwe per diem zake mbona wengine wanaenda bungeni kulala kama Wasira na wanalipwa
Kuliko Minziro kuingia CCM ni afadhali angechukua hayo mapesa afungue hat NGO ya kusaidia vijana kupata kazi huko majuu au kutoa knowledge tu ya mambo fulani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.