chagu wa malunde hata waliotafiti na kuja na COVIDOL na NIMRCAF ni watumishi wa umma nao wanatakiwa wawajibishwe kwa kuaminisha umma kuwa Juice ya pilipili, malimao, vitunguu na tangawizi inatibu CORONA
Ushauri wangu vipimo vinunuliwe kila kata kuwepo kituo cha kupima maambukizi ili kila mwenye maambukizi ajifahamu mapema awezi kuanza matibabu mapema na kujitenga na ndugu, jamaa na marafki ili kuwalinda. Tunapoacha wenye maambukizi wabaki nayo mpaka wanazidiwa kabisa kwanza wanakuwa kwenye...
Kwa mtazamo wangu, watoto walioko Boarding wako salama zaidi na wazazi wao wako salama tofauti na watoto wakirudi nyumbani kuwathibiti wasijichanganye na kuleta maambuki ni ngumu sana
Mchukulie huyo mama kama dada yako wa kuzaliwa, mumewe kama shemeji yako na watoto wake kama wajomba zako; hutapata shida tena ya kujiuliza maswali ya kishetani
Mimi nilisoma shule ya Serikali miaka ile ya utawala kipindi cha kwanza cha Mwinyi. Kipindi kile, shule bora kabisa zilikuwa ni za Serikali na Seminari. Shule binafsi zilizoitwa za Wazazi hazikuwa zinafaulisha. Shule niliyosoma ilikuwa na mikondo minne ya watoto 45 kila darasa. Leo hali ikoje...
Ihamasishe kila mtu achukue tahadhari ya kujilinda yeye mwenyewe na kuwalinda wengine, ni hilo tuu. Sasa hivi msaramgambo kuna wanaouchukua tahadhari na wengine wanapuuza hivyo kuhatarisha wengine
Uliza watu wanaolipa SDL. Pamoja na taratibu ulizoeleza, kila mwezi unatakiwa upeleke ritani ya SDL na kama hukupeleka faini TZS 225,000 kwa kila mwezi uliochelewesha
Mfano kama wewe umelipa kodi yako kwa wakati halafu ukajalipishwa faini ya TZS 300 million kwa sabu ETI hukupeleka karatasi za hiyo kodi uliyolipa itajisikiaje? Na kipengele wanachotumia ni Section 78, of TAA, 2015
Sheria inayotumika ilipitishwa na kikao cha mwisho cha Bunge la utawala wa Kikwete; Mh Msukuma hakuwa bungeni kipindi hicho. Kipengele kinachoumiza watu ni Section 78 of TAA, 2015. Hicho kipengele kikirekebishwa maeneneo mengine ni uzembe wa mlipa kodi mwenyewe
Kila sehemu muhimu ya ndege ina muda wake (masaa) wa kutumika kabla ya kufanyiwa matengenezo makubwa na kurudia upya wake. Mfano baadhi ya ndege engine ni masaa 4000.
Kwa maana hiyo hapo juu ndege haina MUDA MAALUMU wa kutumika bali ni "component" moja moja ndio huwa na muda wa kutumika kabla...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.