Dada Regina Natanguliza Shukrani zangu kwako kwa kuanzisha site hii, Vile vile Nampongeza Mh Dk magufuli kwa Bajeti yake
Aliyoisoma wiki hii Bungeni Lakini Kero yangu kwa wizara hii Ni hili la Mizani ya kupima Uzito unaobebwa Na magari makubwa
Hainiingii Akilini Kwa mfano Sasa hivi katika...
Kaka mwakyembe ni jembe wala huyko kimaslahi kama watendaji wa Tonroads mkoa
Wanutumia mzani ule wa Mobile kwa manufaa yao na sio manufaa ya taifa
kwa akili ya kawada mzani ni mobile kwa nini usiende kuzuia kwenye source unasubiri magari yaharibu kwanza ndipo uyazuie hiyo akili matope...
Hao madereva wamemuonea mwakyembe mchapa kazi makosa ni watendaji wa magufuli
mbona pale mwenge pembeni ukielekea ubungo daladala zimepafanya stand, mbele kidogo magari ya
mbao yanshusha mizigo na kupunguza ukubwa wa Barabara
yeye na watendaji wake hawaoni ila wanaona magari ya vifusi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.