Kwanza nijue Ukawa ni chama?? Na katiba inasemaje kuhusu mgombea na mgombea mwenza??
Huwezi kuwa na mgombea urais atoke chadema alafu mwenza atoke kafu!
Ben nikupe kitu cha ushindi!! Fanya hivi na utakua mshindi!!
Usijibu tuhuma kwa maneno! Kaakimya jiandae kuwajibu kwa vitendo!
Ukimya ni ushindi mkubwa!
Umejibu hii post ya mwehu ki wehu!
Usijibizane na wehu! Maana utaanguka.
Watu wengine wanafikiri kwa kutumia yale Aliyosema Masabiri, wewe nani kakuambia elimu haisaidii? Unataka chama kiwe na wabunge na viongozi wenye akili na upeo finy kama zako? Jitambue kenge wewe! Au anakuhonga bia?
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Wewe Deus Mallya! Naomba usilete CV yako ila sema kimoja tu, umemaliza Form four shule gani? Na usiwadanganye wana JF! Maana ukae ukijua kama elimu yako itakua haina maana kama utadanganya wale wanao kujua.
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Wewe unayesema mafisadi ni wakristo anamtindio wa ubongo! Tena yaelekea anafikiri kwakutumia yale aliyosema masaburi!
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Hapo kwa Aden Rage ndugu yangu mbona kama ushabiki wa mpira sasa! Embu tuambie tatizo la Rage maana mi sijui! Kala hela za kumuuza Samatha?
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Mmmmmh! Ndugu mbona unaleta habari ambazo kama nzito sana na ni ngumu kuzielewa hivi hivi! Ukweli ni upi na uzushi ni upi?
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Ha ha ha ha! Usinichekeshe wewe! Nakuapia kama ukichukua form na ukapita kura ya maoni, mimi nitavua Gwanda nitapanda na chama chochote na ninakuhakikishia nitakumwaga! Mi nakujua sana wewe tena sana! Sasa njoo vijana tukufundishe siasa mpya!
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Jamani! Tuheshimu dini ya kila mmoja! Tusijibizane kwa jazba na kashfa! Sote ni binadamu na tunaimani za aina tofauti! Tujiheshimu na tuheshimu imani zetu! Kila mmoja awe na anachokiamini! Acheni dhihaka hasa katika swala la imani!
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Matumaini ya kupanda kwa garama za maisha kila kukicha, matumaini ya migomo ya madaktari na waalimu! Matumaini unayosemea ni yapi wewe mtoa mada? Kwanza sidhani kama unaipenda nchi yako wewe!
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Mnalalama sana ndugu zangu! Hapo bungeni wabunge mbona nikiwahesabu hata hawafiki 10! Changanya CHADEMA na CCM wote utapata ambao hata 10 hawafiki! Mbunge hapo kula , Mnyika, Deo, Tundu, Zitto mwenyewe siyo yule ninayemjua, sasa mwingine ni yupi?
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Uzinzi na uongozi wapi na wapi bwana! Msitutishe, mbona Clinton alikua na Kashfa ya uzinifu lakini alikua kiongozi mzuri! Wewe ulidhani Dr Slaa siyo rijali ama! Anafaa hata kama ana hayo mapungufu!
Sent from my BlackBerry
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.