Ingawaje mie si mwana cdm, nilikumbushwa mengi kwa staili ya kisheria. Pia nilijifunza mengi kutoka hotuba yake hasa kuhusu sheria ya muungano na katiba ya muungani ambavyo kwa tafsiri yake ni vitu viwili tofauti. Nilipata historia nzuri jinsi ARTICLE 11 zilivyoongezwa na kufikia 22. Sasa...
Ashukuru aliachiwa uhai. Hali hii inaashiria kutojitambua baada ya ulevi mwingi wa pombe na madawa ya kulevya. Pia pengine kakutwa na wahuni wakamfanyia vibaya. Naanini alipelekwa hosiiptali kwa uchunguzi. Ikiwa ni mwanafunzi wa chuo hatua za kinidhani zichukiwe dhidi yake kwa kudhalilisha chuo...
Hii ni habari njema inayoonyesha uwezo wa binadamu kuendelea kutathmini mazingira yanayoizunguka dunia. Lakini haaanishi kwamba viumbe waliopo huko (kama wapo) watafanana kimaumbile na walio dunia hii. Wanweza kuwa wajanja au wajinga zaidi yetu. Kumbuka UFOs ambao ni hadithi ya kufikirika na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.