Search results

  1. B

    Wapare mara nyingi wakienda kwao husema wanaenda Upareni

    barabara hii mnayoiona kutoka Same kwenda milimani Chome ilichimbwa na wananchi wa wilaya ya Same kwa utaratibu wa kujitolea. utaratibu huo wa kazi za maendeleo za kujitolea unaitwa "msaragambo." serikali ya mwalimu nyerere ilikuja kuwapa sapoti wananchi kwa kutoa baruti za kupasua muamba...
  2. B

    Wapare mara nyingi wakienda kwao husema wanaenda Upareni

    unajua mambo mengi ya wapare huamuliwa kwa mashauriano. na mashauriano hayo mara nyingi huwa marefu sana mpaka watu wafikie muafaka. na mara nyingi muafaka ukishafikiwa wote walioshiriki ktk shauri hilo hufungwa na maamuzi hayo. mimi nimeshuhudia hata suala la ndoa za kipare; majadiliano ya...
  3. B

    Wapare mara nyingi wakienda kwao husema wanaenda Upareni

    Ni maneno ya utani tu kuhusu wapare. uhalisia ni kwamba wapare ni watu wasiokata tamaa ktk kupigania haki zao.
  4. B

    Wapare mara nyingi wakienda kwao husema wanaenda Upareni

    kitu ambacho sijaona wapare wanafanya ni wachungaji wahubiri hawa wanaojiita manabii. lakini wapare wapo ktk kila nyanja, kuanzia wasomi mabingwa, wafanya biashara wakubwa, machinga, polisi, wanajeshi, mpaka kuna magaidi wapare.
  5. B

    Wapare mara nyingi wakienda kwao husema wanaenda Upareni

    Nyerere aliwakuta Wapare wanachimba barabara kwa njia ya kujitolea inaitwa "msaragambo." Moyo huo wa kujitolea na uchapakazi wa Wapare ulimfanya Nyerere atamke kwamba, " Wapare ni Wachina wa Tanzania. " Mpare ni mchapakazi na haogopi ushindani, ndio maana anaishi popote pale Moshi, Iringa...
  6. B

    Wapare mara nyingi wakienda kwao husema wanaenda Upareni

    wapare wanawapenda sana jirani na watani zao wachaga. mimi wazee wangu walinihusia kwamba mahali ambapo hakuna mpare,mchaga, au msomali, hakuna pesa kwa hiyo niepuke kuishi hapo.🤣
  7. B

    Wapare mara nyingi wakienda kwao husema wanaenda Upareni

    mwisho wake atakushinda kesi na utamlipa kuku pamoja na ng'ombe. maana ya huo utani ni kwamba mpare hakubali haki yake ichezewe hata siku moja.
  8. B

    Wapare mara nyingi wakienda kwao husema wanaenda Upareni

    mpare anaweza kuishi katika jamii ya wachaga na ku'survive. jamii zingine zinawaogopa wachaga na kuwaona wabaguzi kwamba hakuna uwezekano wa mhamiaji kufanikiwa kibiashara au kimaisha ktk ardhi ya wachaga. mpare yeye anahamia popote pale moshi, arusha, tanga, d'salaam, morogoro,
  9. B

    Wapare mara nyingi wakienda kwao husema wanaenda Upareni

    ni utamaduni wetu toka kwa mababu kuamua migogoro, au mambo ya kijamii, kwa njia ya mashauriano. hata wakoloni walipofika ktk ardhi ya Wapare kitu kimoja kilichowashangaza ni huo utamaduni unaofanana na mahakama wa kuamua masuala mbalimbali yanayoihusu jamii. kwa kawaida na kwa asili yetu Wapare...
  10. B

    Wapare mara nyingi wakienda kwao husema wanaenda Upareni

    maelezo yako sio ya kweli. kabla ya uhuru wilaya ya Pare [ Same + Mwanga] ilikuwa sehemu ya Tanga Province. Majimbo yalipovunjwa na mikoa kuanzishwa ndipo wilaya ya Pare ikakatwa na kupelekwa kuanzisha mkoa wa Kilimanjaro. Pia hakuna Mangi aliyedai nchi au taifa la Wachaga. Madai hayo ni fitina...
  11. B

    Wapare mara nyingi wakienda kwao husema wanaenda Upareni

    kabila letu ni Vaathu/ Vaasu, au Vamp'hare; lugha ni Chasu / Chathu. pia kabla ya kuwa jamii iliyounganika kama kabila, Wapare walikuwa jamii ndogondogo zenye asili ya makabila mengi kama Wakamba, Wataita, Wazigua, Wagweno, Wachaga, n.k. Hakuna jamii / koo ya Wapare ambao waliwahi kupigana...
  12. B

    Suzan Wambui; Mkenya anayepambana kuokoa maisha ya watoto kwa kuwapeleka Tanzania kupata matibabu bora

    wenyeji wa Taveta na Taita ni ndugu wa damu na Wapare huku Tanzania. haina tatizo kama wananchi hao watakuja kutibiwa huku tanzania.
  13. B

    Wapare mwaka 1951 walikuwa na maendeleo kuliko sasa (2021)

    kuna wakamba wana majina sawa na wapare na huo ni uthibitisho kwamba kuna muingiliano. wataita pia wana muingiliano na wapare na lugha zao zinafanana. kama kuna mchanganyiko kati ya wapare na wachaga basi ni kwa kiwango kidogo sana. je, unafahamu kama kuna muingiliano wowote ule wa lugha kati...
  14. B

    Rais Samia atuma salamu za pole kufuatia kifo cha mzee Kassum

    alikuwa waziri wa fedha na utawala wa jumuiya ya afrika mashariki.
  15. B

    Rais Samia atuma salamu za pole kufuatia kifo cha mzee Kassum

    majengo ya sinema ya avalon na amana yalikuwa mali ya familia ya kina al noor kassum.
  16. B

    Wapare mwaka 1951 walikuwa na maendeleo kuliko sasa (2021)

    hizo sio taarifa za kweli. Wapare ni mkusanyiko wa watu wa makabila mbalimbali kama Wataita, Wakamba, Wazigua, Wasambaa, Wachaga, Wagweno, ambao walihamia eneo linaloitwa Upare sasa hivi. Ukichunguza majina ya Wapare utayakuta ktk jamii hizo nilizozitaja hapo juu. maeneo ya tambarare au chini...
  17. B

    Wapare mwaka 1951 walikuwa na maendeleo kuliko sasa (2021)

    Wapare ni moja kati ya jamii hapa Tanzania ambayo Waislamu walikuwa na muamko wa elimu kwa kiwango kilekile sawa na Wakristo.
  18. B

    Kisa cha Uvivu wa Wapare wa Usangi

    wapare ni mkusanyiko wa koo toka makabila ya wachagga, wazigua, kwa upande wa Tanzania, na wataita, na wakamba, kwa upande wa kenya. kwa mfano, jina minja liko uchagani na upareni. jina kilonzo liko kwa wapare na wakamba. pia huyo mfumwa sabuni asili yake ni mbaga sio usangi alipokuwa mfumwa!!
  19. B

    Wapare mwaka 1951 walikuwa na maendeleo kuliko sasa (2021)

    Na wapare wa mwaka 1945 walikuwa na muamko wa kutetea haki zao kuliko wa sasa hivi. mwaka 1943-44 serikali ya mkoloni ilianzisha utaratibu wa kodi ya kichwa ktk wilaya ya pare. ilipofika januari 1945 wananchi wa upare waliamua kufanya maandamano na kukusanyika ktk makao makuu ya wilaya same...
  20. B

    Kuna Tofauti kubwa ya wadau wa upinzani wa Kaskazini na sehemu nyingine

    Wilaya ya Same ina shule nyingi na zinafanya vibaya. Katika matokeo ya mitihani ya kitaifa wilaya ya Same imekuwa ikishika mkia ktk mkoa wa Kilimanjaro. Data kwamba wilaya ya Same inashika mkia kielimu mkoa mzima zipo ukizitafuta utazipata...
Back
Top Bottom