Kwani huo mkutano unanini cha zaidi maana mgombea mwenyewe wa ukawa anaongea kidogo tu!!! Au kwa ajili ya kuangalia wingi wa watu walohudhuria? Maana thread nyingi zimeanzishwa kuutangaza mkutano huo!!! Maana kumbuka kuwa WINGI SI HOJA!!!
Kumbe kuna umuhimu wa watumishi kwenda shule maana huwezi kumnyanyasa rubani kisha ukamwambia wapeleke abiria ni kosa kubwa sana!
Anaweza kuwaua wote na yeye akafa itakuwa faida ya nani? Kila dereva (anayeendesha chombo cha moto) anatakiwa awe huru kifikra ili afanye kazi yake vizuri!!! Kwa...
Rafiki yangu alikuwa na rafiki wa kike ambaye hajawahi kukutana naye kimwili hata mara moja! Rafiki yangu hunieleza kila yanayojiri maana anasema rafikiye wa kike alipata kumwona alipokwenda kufanya semina mkoa wa Tanga.
Anasema alipewa namba ya rafiki huyo mwadada baada ya kumwona akipita...
Naona sasa ni wakati muafaka wa kuweka vitu wazi kila linalowezekana liwe wazi wekeni watoto wasome wafahamu historia ya nchi yao
Wekeni vitabu sehemu zinazofikiwa na watu wote (masikini, tajiri,mkristo,myahudi,mpagani,mkata majani na wengineo)
Mungu amlaze mahali pema peponi! Mtoto wa watu hana la kufanya maana ilikuwa raha za baba yake na mama yake lakini baba ndo mwenye matatizo kwani alikuwa haendi kumuona? Au anao wengi wa namna hiyo? Inaonekana hana huruma na watoto anaowapata kwa kulala na wanawake!
Hakika ya zinaa ni fedheha...
Hata akipatikana hatafanyiwa chochote maana atatoa rushwa lakini wanyonge tuungane kuondoa tatizo
Je ingekuwa kwao Ulaya, Marekani nk wewe mweusi ukalazimisha mtoto wa kizungu kufanya hivyo ungekwepa mkono wa sheria!
Viongozi wa serikali kupitia jeshi la polisi acheni kulamba miguu ya weupe...
Sio kosa kufanya biashara mbona viongozi wengi wanafanya biashara akiwemo Mbowe,Ridhiwani, Mkono na wengineo!
Cha msingi iwe ni ya haki bila mizengwe!
Angalia usafiri wa treni umedumaa kwasababu viongozi wengi wana malori na mabasi ya biashara je nayo tusemeje!
nadhani CHADEMA wajipange vizuri...
Viongozi, vyombo vya habari,nk mbona wanaaminisha uongo! Mbona hakuna aliye tayari kusema ukweli kwa manufaa ya nchi yake! Kila taarifa haina ukweli kuanzia idadi ya vifo, hadi taarifa ya chama kwa umma! Naomba waandishi kuweni wakweli kwa habari husika na jadilin kiundani ili tupate faida za...
Angalieni dua za wanyonge juu ya bili za kodi ya simu ni mbaya na michango ya wanajamii humu nyingi zitaleta maafa kwa viongozi wetu
Tumwombe Allah awape macho muone/ndoto njema muote na mpate kujua ni nini wananchi wanafikiria juu yenu na familia zenu ili mpate amani na furaha katika misha...
Ni dhuluma kwa wanaofundisha hawana wa kuwatetea maana hata chama chao/ umoja wao ni wa kinafiki
Umoja wa waalimu ni kukata mishahara yao midogo na wakila makato yao tu na matatizo kama haya hayashughulikiwi hata kidogo. "WALIIMU UNGANENI HATA MISHAHARA MTABORESHEWA LAKINI BILA HIVYO NI KELELE...
Viongozi wetu ni wanafiki sana maana wanasema na kukana kauli zao
Mfano
1. Je wizara inapoandaa bajeti huwa hakuna mjadala wa wazi au kwa vile wanaojadili wanacho na hawajali wasichonacho
2. Je kweli wafanyakazi wanashida kama mwananchi wa kijijin ambapo kupata elfu moja tu taabu
3. Je wanajua...
Naomba kuuliza maswali haya ndo tutaacha mambo ya udin chuon
1. Vyuo vyetu vya umma vinaongozwa kidin
2. Je wakuu wa vyuo vyote vya umma wanateuliwa na Maaskofu au Mufti
3. Je mtanisaidia walau list ya viongozi wa vyuo vya umma vyote hasa Mkuu wa chuo, makamu wake na DVC kwa kila chuo cha...
cha msingi nini unawafanyia wananchi kama huna unachowafanyia wananchi huna maana
Kama shule yako iwe ndogo au kubwa lakini ukaleta manufaa kwa wananchi basi wewe ni mtu utakayethaminiwa na wananchi au jamii au taifa husika
Hawajui wanachokifanya wanachojua ni kulipana posho tu na nadhani hata mtalamu wa IT hakuna kama yupo kaajiriwa kifadha na kwa maana nyingine hakwalifai kuwepo hapo ila kwasababu baba yake ni fulani basi na anajua kubonyeza herufi za kwenye komputa basi anawekwa
Maana kama ni mtu wa IT na...
Watu wengine wanapost mada kuangalia hasira za watu
Hiv una akili timamu ukipewa ofa siku moja bas aliyekupa ofa ni mtu mzuri kwako !
Inaweza kuwa anahitaji kukumiza na je wewe ni kuku wa kukamatwa na punje za mahindi,mpunga/mchele au mtama?
Tafakar kabla ya kuongea Watanzania wa leo si wa jana...
Wanataka ukuu wa wilaya wa kuteuliwa lakin hawajui walioteuliwa walianza lin mambo ya CCM
wanadhani kila mtu akijipendekeza kwa kukisifia bas ataukata kumbe sio
Nashauri waandishi wa habari mkitaka kuwa wenye kuheshimika amua moja jiunge na gazet la chama husika ili ujenge kula yako vizuri...
Samahani kwa kuchelewa kujibu mzee wangu nilikuwa porini nafanya kazi
maelekezo ni
Tafuta mpapai dume chukua mizizi yake (hata mzizi mmoja tu unatosha)
kata vipande saba
Tafuta ufuta mweupe (nenda sokoni) ni kama kiasi cha robo kilo
Kaanga ufuta uwe mweusi
ipua na poza
chukua mizizi ya mpapai...
Wewe unataka nini mbona hueleweki na je hao waislamu wafanye nini? Maana hakuna imani ya kisanii kama hii ya kuanzisha maandamano, mihadhara, makongamanao na misikitini kusimama na kuchangisha mbona PESA ZINAZOKUSANYWA katika mihadhara, michango mbona huwa haitangazwi. Je kutokuelezwa hadharani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.