hali yako...
Brother kuna inshu nilikuomba unisaidie kama ifuatavyo.
1.nini maana ya link
2.Ni vip naweza kuitumia coz naona watu wana2miana link mara link ya muvie ili a download muvie au software
3.Nilisoma maeleze yako kuhusu matumizi ya U torrent na Bit torrent,zote nimefanikiwa...
mdau ci ungetumia rom inayotumia usb coz kupartition bila cd haitakuwa poa..kufanya partition kwa w7 maelekez yake co magum san ambayo yatakfany ushindwe kaka try it ryt? khalifab@rocketmail.com.................
ole na exam brther...nashkuru kwa kutufumbua na kutupatia vitu vizur tena free of charge..kuna shida moja nahis sijaelewa,,ni kwamba tayar nimeshapata set up ya U TORRENT na BIT TORRENT na tayar inakuwa imekwishafunguka moja kati ya hizi prograM TATIZO LANGU SASA mfano nahitaji ku download...
unajua nin sambuka wamesha adapt na mazingra ya facebook thatz y wanakuwa na majibu ya kipuuz,,,,co mpango kuwa fine mkaka hawajui kwamba watu wanasoma kupitia jf,,,khalifab@rocketmail.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.