Haulazimishwi mkubwa wangu, kama kigezo cha wewe kusoma ni kutokuwa na makosa katika uandishi basi endelea kutafuta. Pia nikwambie tu kuwa kutafuta makosa katika uandishi ni ajira ya mtu, so kitu hicho kinatokea sana. Kazi njema.
*MAOMBI YA SCHORLASHIP - CHINA*
>Kwa wale ambao mngependa kujiunga na masomo ya masters na PhD nchini China kwa mwaka wa masomo 2017/18 yaani kuanzia mwakani mwezi wa tisa ni vyema kuanza maandalizi yako sasa. Application zitaanza mwezi wa 10 mwaka huu hadi mwakani mwezi wa 3 tarehe 30.
>Watu...
Salama wadau,
Nimetumia Distros kadhaa kama openSuse, Fedora, Mint, nk ila kwenye wired network zinashindwa kupata address, nkiweka manually inasema connected ila kunakuwa hakuna flow yoyote ya data.
Tatizo nini labda?
Ninaweza kuifungua ikawa inakubali line za mitandao yote, just in case BB yako imefungwa kwa mtandao mmoja.
Ila hata hivyo, siku hizi kuna bundle ya sh. 1000 kwa siku ambayo inaweza kupunguza makali kidogo, japo ni more expensive on the other way around (1000 X siku 30 =30,000) ukilinganisha na...
Naamini kila mtu yupo salama kabisa.
Anaetaka Ku-unlock Blackberry iliyokuwa locked kwa mitandao ya ulaya anipigie kwenye 0784262953, tutaongea namna ya kukufungulia.
Jamani habari za kazi wakuu,
Mi naomba mnisaidie namna ya kupata scholarships za Bachelor Degrees.
Nataka kusoma kimoja kati ya hivi: Information Technology, Computer Science, na specializations kama Computer Networking, na Database administrations.
Asanteni kwa msaada wenu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.