Kuna ushahidi usio shaka kwamba mambo mengi ya kigaidi na uchonganishi yanayofanywa na Chadema kila kukicha nyuma yake yanamkono wa wazungu sita kutoka nje ( majina kwasasa tayari ninayo) wanaoshauri namna ya kuifanya nchi isitawalike eti!!! Sasa kama ndhani ni dhahiri Watanzania wenzetu...
Hata kama mjinga kiwango chake cha ujinga si kama kinavyoonyeshwa na baadhi ya great thinkers hapa! Ngoja uone watakavyomporomoshea matusi hapa. Lakini kufanikiwa kuwaleta hawa watu pamoja, msg iliyofikishwa kwa watanzania kupitia tamasha hili na michezo mbalimbali, hakika siamini kama ni mjinga...
Kuna taarifa zisizo rasmi lakini zenye ushahidi kuwa onyesho la jana Uwanja wa Taifa ambalo kwa hakika lilifana sana hasa kwa mechi ya wabunge mashabiki wa Yanga na wabunge mashabiki wa Simba bila ya kujali itikadi zao! Mfano Zitto na Ngelejah walikuwa timu moja, wingi wa watu walihudhuria nk...
MZEE SABODO KUCHANGIA UPINZANI SI TATIZO.
Kuna watu wengi wanauliza nini maoni yangu juu ya uamuzi wa Mzee Sabodo kusaidia vyama vya upinzani na hasa Chadema.
Kimsingi sioni tatizo kwa Mzee Sabodo kuamua kusaidia vyama vya upinzani na wakati huohuo akabaki kuwa kada mwaminifu wa CCM...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.