HIZI HABARI ZA KUKURUPUKA NI MBAYA SAANAA... VP MTOA UZI...USHAPATA DETAILS ZA ILIKUWAJE??? AU UMETUPIA TUU KISHA UKALA KONA?? INGEPENDEZA KAMA UNGERUDI HUMU KUKAMILISHA HABARI. Regards!
binamutz hayo ni yakweli. kama ndio... sasa hawa jamaa wanaokurupuka na majibu ya kwamba smart ndo mpango mzima... wanakaa wapi? na je walisoma rejea niliyowaambia kuwa naishi kigamboni?? mh.. yaani ilikuwanikainunue ila kama kuna anayesema kwa dar ilikuwa kwa wallet....mmmmh.... wacha...
nomesoma mwanzo.... katikati na mwisho... then nikapitia comments.... hongereni kwa mliosoma yote...... mzalendo magazine kumbe bado zinapiga kazi eeh??
SHUKRAN CHIEF... mi ninaamini yafuatayo..
1... baadhi yetu hatuna muda wa kudadisi na kutafiti kuhusu tunayoyahitaji haswa simu.. nakujikuta tunanunua aidha kwasababu ndio toleo linalo hit au kwa kuwa recommended na marafiki
2... sina mashaka na simu latest iliyopo hewani HUAWEI G700 au HUAWEI...
kalendi.... nina majibu yakutosha na maelezo yakina kuhusiana na ulichouliza.. ila najaribu kuangalia heading/post inahusiana na smartphone za bei rahisi... sasa kuanzisha elimu darasa hapa la solar sidhani kama tutakwenda sawa.. my advice... anzisha mada kuhusiana na hilo... nitashiriki...
kujua specs ni suala jingine na kujua terminologies... effects... details and approvals ni kitu kingine... thats why unakuta kwenye ujenzi wa barabara kuna engineers(consultants) na contractors.... specs tuu hazitoshi... ndipo pale anapohitajika experienced and skilled person kukuelekeza zaidi...
HAPA NDIPO HITAJI LANGU LILIPO KWA SASA... NIPATIE ELIMU KIDOGO MAANA NADHANI THIS IS WHERE MY HEART IS... pia kama hutojali niambie hapo mwanzo kuhusu simcad nimeona kuna kitu wanaita NANO SIM.... ndo niaje hiyooo jouumbaaa
Available as:
Huawei Ascend P7 Dual SIM with dual sim card slots...
mkwawa... didnt u say kwamba OS ya android sio mpango? i am trying to remember kama kwenye trend ulishawahi lisemea hilo... if so... mbona hiyo ZTE REDBULL V5 inatumia android OS? kama sivyo na kama siko sawa basi ipotezee maana sio kesi. pia je kuna shaka yoyote if i will go for HUAWEI ASCEND...
RAFIKI AKO NA TECHNO PHANTON A+ inamsumbua kwenye kasi ya internet nadhani nikwavile ina uplink na downlinks ndogo.. less than 6Mpbs... kwa maelezo zaidi pitia hapo chini...
General Information
2G NetworkGSM 850 / 900 / 1800 / 1900
3G NetworkHSDPA 2100
4G NetworkNo
SIMDual mini SIM...
mm nimeshawiahika saanaa na HUAWEI ASCEND G700..... sidhani kama nitakuwa na nyingine ya kunibadili mawazo. niliangali comparison ya G700 na IPHONE 5S... nikaridhika saanaa. nakingine ni kuwa kwangu mm iphone na blackberry sizipi kipaumbele hata kidogo. my personal interests... ahsante...
Hivi uwezo wa mtu kufanya "argument" na kutoa "facts" anazaliwa nao au anaupata katika mazingira yanayomzunguka?
HAKUNA MAHUSIANO KUHUSU KUZALIWA NALO AU LAH... ILI U ARGUE NA KUTOA FACTS... NI LAZIMA UWE NA UELEWA WA KUTOSHA KUHUSU CHA KUKITOLEA FACTS... NAJUA WAJUA KUNA TOFAUTI YA WANAO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.