watu wenye wazazi wa namna hii naonaga wamekula hasara sana basi tu ila ndo ivo mzazi mzazi tu,ila kwa kweli kuna watu wanadhalilika kwa kuwa na wazazi vilaza ambao ni wawakilishi wa wananchi.
wanawake wa bongo wavivuu tu. ndo mana hata wanaume wa bongo wenye maendeleo wanakimbilia wanawake wa nje ya nchi jirani. mf Ay,diamon,benpaul nk kwa mujibu wa hela kwako hawa wanaweza kukutunza ila wameona nyie ni wavivu vichwa maji hamuwazi maendeleo mnawaza kuvua chupi tuu ndo mle basi...
kwaiyo bot wakihakiki mateller huo wizi hautokuwepo? na je izo hela za kigeni aliziibia bank gani? alafu azipeleke wapi? kama si alikuwa na backup ya wakuu
dhaman hairejeshi mkopo bali uimara wa biashara na sera bora za uchumi ndo zitafanya mfanya biashara arejeshe mkopo. haya tufanye dhamana ni jengo la nssf posta alafu mwenye biashara kutokana na sera mbovu hafanyi biashara je litarejesha vipi mkopo hali yakuwa wafanya biashara wote kilio chao...
kumbe mikopo hailipiki sababu ya maafisa? hahahaa kweli tz kuna vilaza aiseee. Wimbi la kutolipika mikopo ni la sasa mbona hawa maafisa walikuwepo miaka ya nyuma na mabank yalikwenda vizuri leo hii useme kuna namna? kwa kifupi bank zinakwenda vibaya kwa sababu ya sera mbovu zilizopo hivi sasa...
akumbuke ipo siku huenda akarudi kama cargo pale airport kuchukuliwa na yale yakupakulia mizigo...! atambue kuwa wote huenda tukatumia gari moja tuu jeneza ...ajipange sana.akumbuke ameuzuria misiba ya mabilionea kama wangapi? hiki kibri kwa mwanadamu kina mwisho na huwa haupo mbali.
Mimi ninayo cc1490 4wd toyota ist kwa siku natembea kama km 66 ivi kutoka home hadi town job kwa kwenda na kurudi ili niwe free kabisa natumia 4.6lts-5lts kwa kwenda na kurudi na kwa kweli gari huwa inatembea speed sana mpaka naogopa wenye ist wenzangu huku nje ya mji wanapata tabu sana pale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.