Kwa matumizi ya kawaida kama,Internet, shule na kuweka record mbalimbali ni Brand ipi ya laptop ni nzuri kati ya Dell,Hp,Toshiba?? Na bei zina range sh ngapi?
Kwani ukikiri kuwa Adamu na Samsoni walikuwa dhaifu tu kuna tatizo gani.Kuna mifano ya wanawake kadhaa waliokuwa tegemeo kwa watu na wanaume walioshindwa kwa udhaifu wao wenyewe.Hebu niambie huyu Yuda Iskariote aliyemsaliti Yesu alidanganywa na mwanamke gani? si tamaa yake tu ya kupenda hela na...
Hivi ni wanawake ndio waliowarubuni hao kina Adamu na Samsoni au wao wenyewe walishindwa kutimiza wajibu wao.How come failure zako uanze ku blame watu wengine.When can you learn to be responsible for your own ACTIONS??Tabia hii ya ku blame ni ya wale wanapenda kufeli
Ndio anaweza.Laana mara nyingi huwa zinatokea kupitia tendo la ndoa.Lile tendo ni maalumu sana kiasi kwamba ni kama maagano fulani.Inasemekana kuwa ukisex na mtu yale majini/mapepo yake yanahamia kwako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.