Wadau kuna yeyete mwenyetaarifa za chanzo halisi cha ajali hiyo na je nini kinaendelea mpaka sasa!
Tunawapa pole sana wale wote waliofika na ajali na wale wote waliopoteza wapendwa wao.
Wadau what matters is not how much you have,but how do u spend the litle you have.4million ni pesa nyingi sana.Unapasawa kuchagua aina ya biashara amboyo mtaji huo unakidhi.Mfano wa biashara hizo ni:
-fundua duka la usambazaji mikate.
-huduma za MPESA/TIGO PESA/ZPESA NA AIRTEL MONEY.
-Mradi wa...
jamani namkumbuka mkurugenzi CO wa baclays aliwahi tamka kuwa anataka akiwa angani kwa ndege aone Tanzania yote inashaini kwa rangi ya blue bahari,yaani matawi yameenea kila kona.Yeye alidhani matawi mengi ndo jibu.
Tena wanaongoza kwa POS na Macontainer kibaao ...........This is Tanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.