Search results

  1. A

    Naombeni ushauri

    Hukuchunguza sana, labda ndio maana mwenzako alieachika alikuwa anapiga misele nje.
  2. A

    Baraza jipya la Mawaziri kujulikana Feb 12

    Kazi hiyo sio ndogo kutokana na CV za baadhi ya wanaotarajiwa kuchafuka, hivyo umakini mkubwa unahitajika. Ole wao watakaokimbilia Bagamoyo!!!!! Na kwa sera za CCM wapinzani kuwepo kwenye baraza si rahisi.
  3. A

    Nani anatabiriwa kushika nafasi ya Waziri Mkuu?

    Ni kawaida yetu kutabiri nani anashika uongozi pindi mabadiliko yanapotokea, sasa tabirini nani atashika nafasi Waziri Mkuu, toa majina matatu na utaje vigezo/sifa zitakazofanya mtu huyo ashike wadhifa huo. africanus
  4. A

    Dodoma CCM itaweza kujisafisha?

    Nadhani kwa yaliyotokea Bungeni jana yanatosha kupata jibu. Nimefurahishwa jinsi wabunge wa CCM walivyotoa hoja zao bila woga na kwa uchungu wa nchi yao, haya ni mabadiliko yanayotakiwa kwa hivi sasa, maana hii ndio demokrasia ya kweli. Mwelekeo tunauona. Kwa hali hiyo usafi utakuwepo bila shaka...
Back
Top Bottom