ceichei2010; Unaweza kuwa mwandishi mzuri ila mwandishi mzuri ni yule anachambua habari bila hisia wala dhana binafsi na utambuo wa anachokiandika.Serikali ni ya CCM kitachoenda vibaya wakuulizwa ni CCM maana sera zao ndio zipo madarakani.
Hasa wewe ulitaka Rais Obama alete local polotics Tanzania kwanza ungemuelewa anasema nini. Hta Rais Kikwete akienda nje anaongelea Tanzania tu. Sasa Maggid nikikuona pale kiota ntakukumbusha kijana wangu. uchambuzi yakinifu vijana chambueni masuala. sio kunyenyera tu kama juma na Rosa.
Verified; Sasa hapa kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni yake je wewe umesindikizwa na Chadomo kuwa na msimamo huo?There's no free lunch! Chadema omba omba UK, USA na Kwenuneko masharti yao makubwa ni kutambua mashoga na hawajaweka bayana hilo. Lakini tunafahamu msimamo wa serikali kwamba ndoa ni...
Usiulize papa wa Rome ni mkatoliki. Mara zote CCM ni bora kuliko Chadomo. Chadema hawana mikakati ya muda mrefu walidhani mikakati ya muda mfupi matusi, kupandikiza chuki na udini vingewaletea umaarufu. Sasa imekula kwao.
Usishindane na Baba yako kiumri atakuzidi tu. USA in umri wa miaka zaidi ya 250 sisi Tanzania 50 plus huoni kama kuna mengi ya kujifunza kwao. Mwalimu aliaasa Watanzania tusiwe wavivu wa kufikiri!
Tupe source ya hii picha, maana kuna photoshop activities. Na unaposema la ukweli thibitisha source yako ili toweze ku-prove. Kwanini unajificha jina lako. Hiki kitu muhimu sana tukipata ukweli wake.
Kiongozi shupavu ni yule aneangalia maendeleo bila kujali Watu wasio na busara wanasema nini, ni kiongozi anaekabiliana na changamoto zote bila kuvunja sheria na kufuata haki za binaadamu. Kiongozi anaeona mbali. Kura uangu umepata Ndugu Mwenyekiti Dkt. Kikwete
Hapa umechapia, kila mwanachama wa CCM anayohaki yyakugombea nafasi yoyote kuanzia shina hadi taifa. Sasa kama tunaona Mwenyekiti anatufaa basi wengine huacha kutochukua fomu na hupigiwa kura za Ndio au Hapana. Lakini akijitokeza mwengine watashindana!
tanzania people naomba muache ushamba huyu ndiye rais ambaye amebahatika na hamana mwingine tutakae mpata safari zake zote zina mafanikio nchi yetu inamaaendeleo makubwa sana angalia nchi za jirani.Rais ana khaki kubwa kupokelewa na heshma kubwa angalieni alivyopokelewa kwa heshma bwana...
Watanzania bado hamjuwi siasa badala tujadili vitu muhimu mnatuka ,mnaleta fujo ni Aibu kama tunaleta siasa basi tulete mabadiliko so wanachadema wana leta matusi ya ajabu uzushi mnawadanganya jumuiya sababu wanashida ya hella mnawapa ni aibu kubwa tupigane kwa hoja tupo nchi ya dunia ya...
Wanajamvi imethibitika kuwa Viongozi wa Jumuiya ya Watanzania Washington DMV imekumbwa na kshfa ya kuchukua pesa za Chadema ili wafanye sherehe wakati huo huo siku hiyo hiyo ili kuvuruga mkutano wa CCM DMV. Tayari wanajumuiya wamechukua hatua za kisheria baada ya jumuiya hiyo kutofungamana...
Kwa wale wanaoweza kuchanganua masuala ya kijamii na kisiasa ni dhahiri kwamba toka katibu Mkuu Wilson Mukama, utendaji ndani ya CCM umekuwa na tija. Komrade Mukama ni kiongozi shubavu, mwenye busara na anaesikiliza sana na kuongea kidogo. Ana sense of humor as well as wisdom. Tunamuombea afya...
Pole sana usilolijuwa ni usiku wa Giza kazi ni kuona kodi zinaliwa tuu wakati chadema aka chadomo walikuja wabunge zaidi ya watano ccm MBona haikusema ccm DMV inamleta diamond na wana chama wanaomleta diamond wanaleta waimbaji miaka yote why not washindwe kumleta diamond ..??? Unajuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.