Search results

  1. B

    Tuendelee tu na unafiki wetu

    Acha uongo wewe ndo nyie wanafiki wenyewe mnapotosha jamii..kule morogoro wchadema alivyopigwa mabom walikua na kibali?walipewa kibali cha mkutano wao wakafanya maandamano,kwahiyo umeona hawa polisi ni wehu wawape kibali halaf wakawapige mabomu??
  2. B

    Serikali wakaechini kutatua matatizo na waislam

    Sasa kama serikali ya zanzibar inasema haihusiki na kukamatwa kwa sheikh Farid utasubiri chombo cha sheria gani!?
  3. B

    Eti Ikulu imesema kuwa yaliyosemwa na Dk Ulimboka ni upuuzi

    Uko sahihi kaka maana kazi aliyoifanya ponda na huyu kaifanya ila hawamgusi.....dah serikali hii ina mambo!
  4. B

    Hatimaye Anti Ezekiel afunga ndoa

    Utaanza kufa wewe utamuacha!
  5. B

    KOVA: Uvumilivu sasa basi

    Toa taarifa vizur wewe
  6. B

    Wakristo mtachomewa makanisa hadi lini jamani ifike tuseme no imetosha

    kwani mmeshikwa mikono!? anzisheni sasa...
Back
Top Bottom