Will Smith alivyo Fala anamfata anamwambia haya nenda kwa mama anakusubiri, anamfumba Macho dogo anadanja[emoji23][emoji23]
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Ambangile ni mwoga wa kupigwa mawe hasa na simba na yanga so hujitahidi kubalance na hapo ndiyo anapokosea..eddo na dauda wao kama ni nyeusi ni nyeusi hawaogopi chochote.kihemba na jemedari nao wako vizuri hawajali mihemko ya vilabu vya kariakoo kama wamezingua huwaambia ukweli
Watazuiwaje bila sababu , taarifa ya chadema ni ya upande mmoja, ninachoamini ziko sababu walizopewa ambazo chadema hawakuziweka kwenye press release yao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.