Karibuni kinywaji wana Jamiiforums weekend ndo hii baada ya pilikapilika za week basi ni muda wakujipongeza.
Wale waliosema mwanamke akinywa pombe hana mvuto, karibia hapa upate kinywaji.
Mie sipendi uchoyo.
Jamani nashindwa kulala mpaka sasa hivi....nmepata mgeni ana sugua meno hatari na nmelala nae room kwangu.
Wengine humu wanamatatizo kama haya au kuzidi haya.
Utakuta mtu anakoroma kama simba au wengine ulala kama anaogelea jamani.
Hivi ni ulemavu,tabia isiyokuwa na dawa au mnafanya...
Habari wana jamvii.....nina shemeji yangu alianza kuongea vitu visivyoeleweka (maluweluwe) ijumaa iliyopita na kulamimika kuwa ana uchovu sana.
Dada yangu (mkewe) alihisi ni gea tu yakukwepa maswali maana alikuwa akimdai pesa ambayo alihaidiwa na huyo mumewe.Hali ya mume iliendelea hivyo...
Habari zenu wana jamii.....
Kama heading inavyojielezea jamani,kumekuwa na ongezeka la wauza supu ya pweza na juice ya tende mixer maziwa,Nilipojaribu kudadisi kwa undani zaidi haswa kwa watumiaji wa hizo bidhaa wanasema inasaidia kuleta heshima ndani ya nyumba.
Sasa nina maswali maana...
Habari zenu wana jamvii.
Me nina swali jamani, nikinywa kilevi wakati ninataka kusex na shemu wenu ute unakata na papuchi inakuwa kavu zaidi.
Je ni ugonjwa?
Habari wana MMU
Tuna binti wetu wa kazi ambae sasa ni kama miezi 6 tangia tumeanza kuishi nae.Ni mwenyeji wa mkoa wa Dodoma.
Huyu binti historia yake hakuwahi kupelekwa shule na kwa maana hiyo hawezi kusoma wala kuandika.Alifanyiwa mpango hapa nyumbani akapelekwa sehemu ili ajifunze kusoma...
Habar wa MMU.......aiseee nahitaji mnikumbuke katika maombi,mama yangu ni mgonjwa na hatujui tufanye nini maana hospital ugonjwa hauonekani.
Alichomwa na kitu mguuni wiki 5 zilizopita ikaota kama kipele then lengelenge na baadae mguu wote ukawa umepata vidonda.
Kapimwa magonjwa mengi...
Habari zenu wana JF........
Ni siku nyingine tena bwana amefanya,leo ni kumbukumbu ya siku yangu yakuzaliwa.
Nilizaliwa tarehe kama ya leo na mwezi wa leo siku ya jumapili,alfajiri.
Namshukuru mama kwa uaminifu wake wakunitunza nikiwa tumboni mpaka kuzaliwa kwangu.
Shukrani pia kwa baba...
Habar zenu wana jamvi.......
Kuna tatizo ambalo linanitatiza mwenzenu,mwili wangu unakawaida yakuwa na joto maisha yangu yote kias ya kwamba mtu mwingine akinigusa anaweza akasema labda naumwa kumbe walaaaaah!!!
Kilichonifanya niandike uzi huu....nilipotoka kijiji hv karbun nikawa najisikia...
Habari zenu ............
Nimefikiria mapito wanadamu tunayopitia katika maisha ya kila siku........matendo ambayo tunayatenda yakumpendeza Mungu na yasio mpendeza yeye lakin kwa neema zake bado tunaishi.
Je umewahi kufikiria unamrudishia nini Bwana (Mungu) kwa ukarimu wake?Mungu ni mwema sana...
La mgambooooooooooooooo limelia huko..........................
Yaani kwakweli nmesikitishwa na kilichompata dada Ufoo Saro kabisaaaaa,Sababu zinazovuma mpaka sasa ni mapenzi kimetokea nini wanafahamu wenyewe......
Kuna kipindi nilileta thread hapa juu ya yule mchaga anayenihudumia ingawa...
Wana MMU nahitaji maombi yenu nipo safarini muda huu naelekea morogoro maeneo ya nanenane......nimefiwa na dada yangu kipenzi,Amefariki leo mchana na alikwenda kwa dada mkubwa huko morogoro likizo ya kikazi juz!!!!!!
BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA.....JINA LAKE LIHIMIDIWE.
Nashukuru kwa...
Habari wana JF............poleni na shughuli zakujenga taifa letu.
Dunia tambala bovu walisema wahenga wetu na leo nimeamini hili........Dada mmoja alikuwa na shoga yake kipenzi anayemuamini kwa kila jambo,lakini alichomtenda haamini mpaka kesho kama peponi au laah.
Alikuwa na mume wake...
Habari zenu JF........
Nina mahusiano ya kawaida tu na kijana mmoja wa kichaga ambaye ni mfanyabiashara yapata miaka 3 sasa.
Anatoa huduma zote kwangu kasoro tu dushelele lake ndo silihitaji maana sina hisia zozote jaman za mapenzi kwake (toka moyoni) ki ukweli.
Kwanzia mwaka jana jamaa...
Kura zimeharibika Kagera mikoroshini-kinyang'anyiro cha mwenyekiti serikali za mitaa.CCM wanang'angania kutangaza matokeo.
Defender na mabomu ya machoz yapo standby.....
Afe ng'ombe afe mmasai hapa.
Wanataka kutangaza matokeo kiubabe
Poleni wana JF na majukumu ya kila siku.
Nimerudi tena kwa muendelezo wa ile kesi,nisiwachoshe sana lakin hali iliyofikia ni kutishiwa aman kabisa kwa ujumbe mfupi wa maaandishi kupitia simu yangu ya mkononi.
Kama nilivyotoa maelezo katika thread ile ya pili juu ya hatua zangu nilizochukua...
Habari wana JF,poleni na majukumu ya kila siku ya kulijenga taifa letu.
Nashukuru kwa ushauri wenu na maombi yenu juu ya yaliyonikuta kwa huyo lecturer kama nilivyotuma katika huu mtandao wik iliyoisha.
Nilichukua maamuz ya kwenda kwa DS moja kwa moja baada yakutoka kwa HOD,Nilipoonana na DS...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.