muhongo na yeye alizidi kutukana, "wawekezaji wa nchi hii wanaweza kuwekeza kwenye juice na siyo gas" mwisho wa kumnukuu, nafikiri alipaswa kuondoka tu maana sijaona uzalendo wake
yale yale ya jk, alipohojiwa na BBC 'kwa nini tz ni maskini?' jk alijibu kuwa hata yeye hajui sababu, hivyo sishangai kusikia haya ya mteule wake kwani kama yeye(jk) hajui uwezekano wa kumteua asiyejua ni mkubwa sana
mwigulu hawezi kujenga hoja ndiyo maana anafanya utoto huu, inaonekana kwake yeye siasa ni namna yoyote ile awezavyo kumchafua mwanasiasa asiye wa chama chake
sehemu kubwa(watu) ya nchi yetu inayohusika na kusaili watawala ni rahisi kudanganyika na watawala wetu huutumia huo mwanya kama mtaji wao badala kuuziba ili tusiendelee kurudi nyuma na badala yake tuende mbele
ukweli ni kwamba unaposema uwongo na ukijua kuwa ni uwongo lazima utajulikana tu, nasubiri reaction ya kova towards gwajima, ila sijui kama atajibu maana huwa hawachelewi kusema swala liko mahakamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.