Ninayo shida kidogo ndugu zangu kulingana na Sheria kuhusu Bodi ya mikopo kwa wanafunzi wa Elimu ya Juu. Nahitaji kufahamu kwamba; Je mwanafunzi anayo haki ya kuishitaki Bodi pale inapokuwa imechelewesha kumpatia mkopo (fedha) kwawakati kama inavyotakiwa wakati mi mnufaika wa mkopo.?Na kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.